Kuna jamaa alinitonya kuwa hiyo ni sayansi imetumika hapo. eti hao ni farasi wawili wamefanyiwa operation wakawaunganisha ili wawe wanapanda polisi wengi hapo..huyo wa nyuma alikuwa amekaribia kufa kwahiyo wakamkata kuanzia kwenye miguu ya mbele, na huyo wa mbele wakamkata kiunoni......tehetehetehe!!!.