Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
🟢[emoji367] " Yanga wanalipa gharama kubwa za kuwa kwenye UBORA.
Akishinda goli chache lazima kuwe na mjadala kwakuwa watu hawajazoea hivyo.
Akishinda nyingi lazima pia watu watazame amechezaje?
Kwakuwa wamezoea mpira mzuri kutoka kwao.
Ila inafurahisha zaidi kama atashinda nyingi mjadala unahama, utasikia GSM anadhamini timu nyingi[emoji3]!
Akifunga chache shida, akifunga nyingi shida, akicheza hovyo shida na akicheza vizuri shida.
Pale juu pana upweke mkubwa sana, ubora una gharama kubwa sana za kulipa[emoji3]"
-Farhan Jr.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Akishinda goli chache lazima kuwe na mjadala kwakuwa watu hawajazoea hivyo.
Akishinda nyingi lazima pia watu watazame amechezaje?
Kwakuwa wamezoea mpira mzuri kutoka kwao.
Ila inafurahisha zaidi kama atashinda nyingi mjadala unahama, utasikia GSM anadhamini timu nyingi[emoji3]!
Akifunga chache shida, akifunga nyingi shida, akicheza hovyo shida na akicheza vizuri shida.
Pale juu pana upweke mkubwa sana, ubora una gharama kubwa sana za kulipa[emoji3]"
-Farhan Jr.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app