Farhia Middle na Aboubakary Sadick wa Radio One wauchanachana Msukule mpya wa Mafurikoni Jangwani

Farhia Middle na Aboubakary Sadick wa Radio One wauchanachana Msukule mpya wa Mafurikoni Jangwani

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
"Kuna Wanaume wengine Wana tabia za Kike Kike za kupenda Kuwasema Watu vibaya ambao wameishi na kufanya nao Kazi kana kwamba hawakuwa na Mazuri yao au Yeye nae hana Mapungufu yake. Tafadhali ukiachika nyamaza tu kwani Kutajataja Watu kunaonyesha jinsi gani unavyowakubali na ulivyoumia kutokuwa nao tena", Farhia Middle.

"Wanawake nawatahadharisha kuwa kuweni makini sana kutoanzisha Mahusiano na Wanaume lopo lopo, hawana Vifua vya Kutunza Siri na wanaopenda kuhamahama na Kuzungumzia ya Watu hasa kule walikotoka au walikokuwa kwani hawa hata katika Mahusiano huja kuwa Baba wabaya na Hatari. Cha kushangaza Kutwa unawasema Watu ila Wao wanakunyamazia huoni kuwa umeshafanywa na unaonekana Mwendawazimu?", Aboubakary Sadick.

Chanzo: Radio One Kipindi Bora kabisa Ulimwenguni cha Mazungumzo ya Familia ambacho nitashangaa kusikia Great Thinkers wa hapa JamiiForums hamkisikilizi kila Siku za Jumapili kuanzia Saa 1 na dakika 30 mpaka Saa 4 Kamili kwani ni Kizuri na Kinaelimisha zaidi.

Tafadhali sana Dada yangu Farhia Middle na Mzee Kijana Mwenzangu Aboubakary Sadick hebu Kunyweni Soda popote mlipo hapo kwani Madongo yenu nina uhakika yameenda mahala pake.

Huku mpaka muda huu wa Saa 4 Temeke Stadium kumegoma Kufurika, Msukule wao unahaha na Coffee Man anataka kurejea France kwani MSG wanataka Kumkopa kama walivyozoea kuwakopa akina Mkwasa na Tambwe.
 
Hahaha! Ila kweli, kumiongelea mtu ambaye aliyekupuuza inauma, nakumbuka kipindi niko chuo kuna binti tuliachana akaanza kutangaza mabaya yangu, yaani kuna siku alimwambia rafiki yangu kuwa hata show za bedi alikuwa haenjoy, nikaja kukutana naye baada ya miaka mitano, tukarudi kwenye mahusiano, kuna siku aliniuliza kuwa kwa vile alivyofanya mbona sikumchukia na nilionyesha kupuuzia. Nikamwambia kuwa nilijua kuwa iliumizwa na kuachwa so ulichagua kujitibu maumivu kwa staili hiyo. Hivyo hata manyara naye ndio staili aliyochagua kutibu maumivu yake. Atafarijika endapo ataona wakina babra wanaingia kwenye malumbano. Kwa hiki kinachoendelea wakina babra kuwa kimya, naona maumivu yake anayoyapata.
 
Hahaha! Ila kweli, kumiongelea mtu ambaye aliyekupuuza inauma, nakumbuka kipindi niko chuo kuna binti tuliachana akaanza kutangaza mabaya yangu, yaani kuna siku alimwambia rafiki yangu kuwa hata show za bedi alikuwa haenjoy, nikaja kukutana naye baada ya miaka mitano, tukarudi kwenye mahusiano, kuna siku aliniuliza kuwa kwa vile alivyofanya mbona sikumchukia na nilionyesha kupuuzia. Nikamwambia kuwa nilijua kuwa iliumizwa na kuachwa so ulichagua kujitibu maumivu kwa staili hiyo. Hivyo hata manyara naye ndio staili aliyochagua kutibu maumivu yake. Atafarijika endapo ataona wakina babra wanaingia kwenye malumbano. Kwa hiki kinachoendelea wakina babra kuwa kimya, naona maumivu yake anayoyapata.
Kama hujajua bado Ndugu taarifa ikufikie popote pale ulipo kuwa Jina lake jipya la Ubatizo ni Msukule wa GSM na Mafurikoni Jangwani.
 
"Kuna Wanaume wengine Wana tabia za Kike Kike za kupenda Kuwasema Watu vibaya ambao wameishi na kufanya nao Kazi kana kwamba hawakuwa na Mazuri yao au Yeye nae hana Mapungufu yake. Tafadhali ukiachika nyamaza tu kwani Kutajataja Watu kunaonyesha jinsi gani unavyowakubali na ulivyoumia kutokuwa nao tena", Farhia Middle.

"Wanawake nawatahadharisha kuwa kuweni makini sana kutoanzisha Mahusiano na Wanaume lopo lopo, hawana Vifua vya Kutunza Siri na wanaopenda kuhamahama na Kuzungumzia ya Watu hasa kule walikotoka au walikokuwa kwani hawa hata katika Mahusiano huja kuwa Baba wabaya na Hatari. Cha kushangaza Kutwa unawasema Watu ila Wao wanakunyamazia huoni kuwa umeshafanywa na unaonekana Mwendawazimu?", Aboubakary Sadick.

Chanzo: Radio One Kipindi Bora kabisa Ulimwenguni cha Mazungumzo ya Familia ambacho nitashangaa kusikia Great Thinkers wa hapa JamiiForums hamkisikilizi kila Siku za Jumapili kuanzia Saa 1 na dakika 30 mpaka Saa 4 Kamili kwani ni Kizuri na Kinaelimisha zaidi.

Tafadhali sana Dada yangu Farhia Middle na Mzee Kijana Mwenzangu Aboubakary Sadick hebu Kunyweni Soda popote mlipo hapo kwani Madongo yenu nina uhakika yameenda mahala pake huku mpaka muda huu wa Saa 4 Temeke Stadium kumegoma Kufurika, Msukule wao unahaha na Coffee Man anataka kurejea France kwani MSG wanataka Kumkopa kama walivyozoea kuwakopa akina Mkwasa na Tambwe.
MANARA hana tofauti na bi-kidude, au bi- tukinao, kachika kwenye ndoa ya kwnza anakwenda kuahithidia alivyokuwa ana-kuoo-ko-zwaaa , kama gadinaaa alivyokuwa anamseama jei-diii
 
"Kuna Wanaume wengine Wana tabia za Kike Kike za kupenda Kuwasema Watu vibaya ambao wameishi na kufanya nao Kazi kana kwamba hawakuwa na Mazuri yao au Yeye nae hana Mapungufu yake. Tafadhali ukiachika nyamaza tu kwani Kutajataja Watu kunaonyesha jinsi gani unavyowakubali na ulivyoumia kutokuwa nao tena", Farhia Middle.

"Wanawake nawatahadharisha kuwa kuweni makini sana kutoanzisha Mahusiano na Wanaume lopo lopo, hawana Vifua vya Kutunza Siri na wanaopenda kuhamahama na Kuzungumzia ya Watu hasa kule walikotoka au walikokuwa kwani hawa hata katika Mahusiano huja kuwa Baba wabaya na Hatari. Cha kushangaza Kutwa unawasema Watu ila Wao wanakunyamazia huoni kuwa umeshafanywa na unaonekana Mwendawazimu?", Aboubakary Sadick.

Chanzo: Radio One Kipindi Bora kabisa Ulimwenguni cha Mazungumzo ya Familia ambacho nitashangaa kusikia Great Thinkers wa hapa JamiiForums hamkisikilizi kila Siku za Jumapili kuanzia Saa 1 na dakika 30 mpaka Saa 4 Kamili kwani ni Kizuri na Kinaelimisha zaidi.

Tafadhali sana Dada yangu Farhia Middle na Mzee Kijana Mwenzangu Aboubakary Sadick hebu Kunyweni Soda popote mlipo hapo kwani Madongo yenu nina uhakika yameenda mahala pake huku mpaka muda huu wa Saa 4 Temeke Stadium kumegoma Kufurika, Msukule wao unahaha na Coffee Man anataka kurejea France kwani MSG wanataka Kumkopa kama walivyozoea kuwakopa akina Mkwasa na Tambwe.
IDs zinabadilika na aina ya UANDISHI unajitutumua sana kubadilisha lakini MADA za KIPOPOMA kila siku zinazunguka mule mule.

1- Simba, Yanga, TFF

2- Siasa

3- Radio ( Radio One, Sports Arena na Sports HQ )

4- Mapenzi
 
"Kuna Wanaume wengine Wana tabia za Kike Kike za kupenda Kuwasema Watu vibaya ambao wameishi na kufanya nao Kazi kana kwamba hawakuwa na Mazuri yao au Yeye nae hana Mapungufu yake. Tafadhali ukiachika nyamaza tu kwani Kutajataja Watu kunaonyesha jinsi gani unavyowakubali na ulivyoumia kutokuwa nao tena", Farhia Middle.

"Wanawake nawatahadharisha kuwa kuweni makini sana kutoanzisha Mahusiano na Wanaume lopo lopo, hawana Vifua vya Kutunza Siri na wanaopenda kuhamahama na Kuzungumzia ya Watu hasa kule walikotoka au walikokuwa kwani hawa hata katika Mahusiano huja kuwa Baba wabaya na Hatari. Cha kushangaza Kutwa unawasema Watu ila Wao wanakunyamazia huoni kuwa umeshafanywa na unaonekana Mwendawazimu?", Aboubakary Sadick.

Chanzo: Radio One Kipindi Bora kabisa Ulimwenguni cha Mazungumzo ya Familia ambacho nitashangaa kusikia Great Thinkers wa hapa JamiiForums hamkisikilizi kila Siku za Jumapili kuanzia Saa 1 na dakika 30 mpaka Saa 4 Kamili kwani ni Kizuri na Kinaelimisha zaidi.

Tafadhali sana Dada yangu Farhia Middle na Mzee Kijana Mwenzangu Aboubakary Sadick hebu Kunyweni Soda popote mlipo hapo kwani Madongo yenu nina uhakika yameenda mahala pake huku mpaka muda huu wa Saa 4 Temeke Stadium kumegoma Kufurika, Msukule wao unahaha na Coffee Man anataka kurejea France kwani MSG wanataka Kumkopa kama walivyozoea kuwakopa akina Mkwasa na Tambwe.
Msukule anajitoa akili kwa vipande vya fedha

Huku akiharibu maisha yake siku za mbeleni.
 
Niko hapa Mwenge muda huu, zimepita basi kama 30. Hivi zinaenelekea Taifa wataenda kujaza ule uwanja bila shaka.
Wanaenda kuzika hao Kongowe na siyo Kwa Mkapa. Updates za saa Uwanja una Watu 117 tu ndani huku Msukule wao ukiwa nje unabung'aa bung'aa tu.
 
Manara hatodumu pale Yanga, kumbuka watu kama Antonio Nugaz aliyezoeleka kuwa mstari wa mbele kwenye tukio kama la leo kawekwa kando unategemea nini? Kuna bomu linatengenezwa hapo Jangwani matokeo yake yajja
 
Back
Top Bottom