Farhia Middle punguza huo unene

Farhia Middle punguza huo unene

Mangungo II

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2012
Posts
18,133
Reaction score
26,766
Naam

Huyu dada huwa namkubaii sana wakati wa usomaji wa Taarifa ya habari pale ITV.

Anajiamini na uwasilishaji wake wa habari ni mzuri kwakweli

Kwangu Mimi namuona inafaa sana BBC Swahili wamchukue huyu akasadiane na akina Kikeke na Zuhura kuliko wale Wakenya na Waganda wanaoongea Kiswahili Cha ovyo pale BBC.

Dada/Mama Farhia Middle jaribu fanya mazoezi upunguze huo uzito aisee.

Nafikiri kuwa na mwili wa wastani ni moja Kati sifa nzuri ya News anchors wote

Natumaini utapita hapa na kusoma nakufanyia kazi huu ushauri wangu

Mimi nakukubali sana

Jackline Silemu na wewe jitafakari.
 
Haya Aende Akafanyizie Kazi Nadhani Mmenielewa
😁😂😀😄😅😃🤣
Mkulu Akisisitiza JAMBO
 
Kuna siku nilikuwa nacheki nikamwona mtangazaji mmoja pale ITV nikawaambia watu "huyu mbona Kama namfananisha" wakasema "jackline silemu huyo" nilishangaa sana

Nikajiuliza Ina maana siku hizi ITV wanalipswa fresh Hadi kunenepea hivyo au wameridhika sana .

News anchor kajaa kioo chote Cha TV[emoji44][emoji45]

Daah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Miye tatizo sio unene ila kwenye mwezi huu! Dah! Zile trauza wanazo vaa basi tena. Yaani mijinyamanyama ileee wee acha tu
 
Kuna siku alivyokuwa anaenda kusoma habari nikadhani pale atatitia chini. Ila jeupe utadhani Elizabeth aliyepimwa na kukutwa na corona(pawpaw)
 
You are hearting her feelings! Akiona haumfai atafanya diet
 
Back
Top Bottom