Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Naam
Huyu dada huwa namkubaii sana wakati wa usomaji wa Taarifa ya habari pale ITV.
Anajiamini na uwasilishaji wake wa habari ni mzuri kwakweli
Kwangu Mimi namuona inafaa sana BBC Swahili wamchukue huyu akasadiane na akina Kikeke na Zuhura kuliko wale Wakenya na Waganda wanaoongea Kiswahili Cha ovyo pale BBC.
Dada/Mama Farhia Middle jaribu fanya mazoezi upunguze huo uzito aisee.
Nafikiri kuwa na mwili wa wastani ni moja Kati sifa nzuri ya News anchors wote
Natumaini utapita hapa na kusoma nakufanyia kazi huu ushauri wangu
Mimi nakukubali sana
Jackline Silemu na wewe jitafakari.
Huyu dada huwa namkubaii sana wakati wa usomaji wa Taarifa ya habari pale ITV.
Anajiamini na uwasilishaji wake wa habari ni mzuri kwakweli
Kwangu Mimi namuona inafaa sana BBC Swahili wamchukue huyu akasadiane na akina Kikeke na Zuhura kuliko wale Wakenya na Waganda wanaoongea Kiswahili Cha ovyo pale BBC.
Dada/Mama Farhia Middle jaribu fanya mazoezi upunguze huo uzito aisee.
Nafikiri kuwa na mwili wa wastani ni moja Kati sifa nzuri ya News anchors wote
Natumaini utapita hapa na kusoma nakufanyia kazi huu ushauri wangu
Mimi nakukubali sana
Jackline Silemu na wewe jitafakari.