Mwashiuya mzuri lakin ametokea kwenye timu ambayo haina academy ila Farid amepitia kwenye academy pale Azam. Ila naamini Mwashiuya ana kipaji kikubwa xana.
Huyu Farid si ndo yule aliyekuwa akiwahenyesha Nigeria?? kama ndo yule amayefanana na Ozil ni balaa, namba yake haina mtu kwa sababu yake! yule dogo nilipokuwa naangalia mechi ya starz sikuamini! Kama ndiye ni zaidi ya Mwaishuya!