Farid Mussa afaulu majaribio Hispania

Hivi kwa nini SNURA FC wachezaji wake hawatakiwi ulaya??
 
katuwakilishe, komaa timu hiyo ipande daraja, kwa mwaka mzima utakuwa umezoea mazingira
 
tuwakilishe vyema tupate wachezaji 6 tuu huko nje na wawe wanacheza timu ya Taifa itafanya vizuri katika mashindano makubwa bila hivyo tutabaki kuiombea kila siku...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…