white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Tatizo lao wana akili za kindezi!!wao wanapoona mtu ameibukia timu kubwa wanazania ameanza leo!!kucheza huko si mala mia kuliko hizi yanga na simba!!Angalia Paul Pogba timu alizoanza kuzichezea toka 1999 hadi 2009 watanzania wajuaji sana kila siku mnashangaza.View attachment 809019
Sasa huko GENK anajipeleka mwenyewe mkuu??kuwa leo nachezea genk sawa!!ulaya ni ulaya tu kakaIyo timu ni dhaifu sana na kutoka ni ngumu afadhali angenda hata Genk kule unaweza ku onekana wakati wa Europe league
nani anaangalia caf ndugu yangu!?Ligi ya jimbo na kuonekan Africa nzima kwenye caf ipi bora
Unajua etoo alipoanzia au unasem la tuHapo ndio wabongo tunachemka,hivi ukipata history ya kina E'too kina drogba,na wachezaji wengine wa west afriaka unadhani walianzia timu kubwa kubwa?hadi wengine walikwenda wakawa hakuna mshahara yeye ni kupewa chakula tu na wakavumilia sasa wako mbali!!wewe unataka utoke hapa moja kwa moja ukachezee man utd hizo ni ndoto za mchana.
Nashauri tuache kudanganya umri huyo nahisi kuna kitu hakipo sawa Ulaya hawana wivu na mtu kwenye mpira sisi wachezaji wetu in ltatizoHapo ndio wabongo tunachemka,hivi ukipata history ya kina E'too kina drogba,na wachezaji wengine wa west afriaka unadhani walianzia timu kubwa kubwa?hadi wengine walikwenda wakawa hakuna mshahara yeye ni kupewa chakula tu na wakavumilia sasa wako mbali!!wewe unataka utoke hapa moja kwa moja ukachezee man utd hizo ni ndoto za mchana.
Alikosa pa kufikia Ulaya.... Akawa analala Airport, wazungu hawakuamini why hakufa kwa baridi lile!Hapo ndio wabongo tunachemka,hivi ukipata history ya kina E'too kina drogba,na wachezaji wengine wa west afriaka unadhani walianzia timu kubwa kubwa?hadi wengine walikwenda wakawa hakuna mshahara yeye ni kupewa chakula tu na wakavumilia sasa wako mbali!!wewe unataka utoke hapa moja kwa moja ukachezee man utd hizo ni ndoto za mchana.