Pre GE2025 Faris Buruhani Aongoza Bonanza la Mtani wa Jadi, SIMBA vs YANGA Kata ya Nyakibimbili

Pre GE2025 Faris Buruhani Aongoza Bonanza la Mtani wa Jadi, SIMBA vs YANGA Kata ya Nyakibimbili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera Ndugu Faris Buruhani, ameongoza BONANZA la mpira wa miguu kati ya timu za mashabiki wa Simba na mashabiki wa Yanga iliyochezwa katika uwanja wa shule ya Msingi Lyamahoro, katika kata ya Nyakibimbili.

WhatsApp Image 2025-01-27 at 08.41.31.jpeg

Ndugu Faris, amelitumia Bonanza hilo kuwashukuru wananchi wa Nyakibimbili kwa kuendelea kuiamini CCM katika Uchaguzi uliopita wa Serikali za Mitaa, huku akiwaomba kuendelea kuichagua CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025.

WhatsApp Image 2025-01-27 at 08.41.31 (1).jpeg

Ndugu Faris amekabidhi zawadi ya Mbuzi watatu kwa timu mbili zilizoshiriki Bonanza hilo huku akimshukuru Mwenyekiti wa UVCCM kata ya Nyakibimbili na kamati yake ya Utekelezaji kwa kuendelea kuwaunganisha vijana wa kata yao kupitia michezo.

WhatsApp Image 2025-01-27 at 08.41.32.jpeg
WhatsApp Image 2025-01-27 at 08.41.32 (1).jpeg
WhatsApp Image 2025-01-27 at 08.41.32 (2).jpeg
WhatsApp Image 2025-01-27 at 08.41.33.jpeg
WhatsApp Image 2025-01-27 at 08.41.33 (1).jpeg
WhatsApp Image 2025-01-27 at 08.41.33 (2).jpeg
 
Back
Top Bottom