LGE2024 Faris Buruhani: CCM Hatuachi Kitu Novemba 27

LGE2024 Faris Buruhani: CCM Hatuachi Kitu Novemba 27

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
WhatsApp Image 2024-11-25 at 07.59.43.jpeg

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM mkoa wa Kagera Komredi Faris Buruhani ameendelea na Kampeni ya kuwanadi wagombea wa CCM katika mitaa mbalimbali ya Mkoa wa Kagera inaendelea katika Mitaa 10 ya Kata za Hamugembe, Miembeni, Bilele na Kashai Manispaa ya Bukoba.

"Hakika utekelezaji mzuri wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 umetosha kuwafanya wagombea wetu kuwa kivutio kikubwa mbele ya wananchi. Hivyo ushindi wa kimbunga wa Chama chetu Novemba 27 ni suala la muda tu" - Komredi Faris Buruhani

WhatsApp Image 2024-11-25 at 07.59.44 (1).jpeg

"Katika kila Kijiji, kila Mtaa, kila Kivuko na kila Kona ya Kagera, Chama Cha Mapinduzi (CCM) tunasimama imara kusaka ushindi kwa hoja za maendeleo na mshikamano wa kweli" - Komredi Faris Buruhani

WhatsApp Image 2024-11-25 at 07.59.45.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-25 at 07.59.43 (2).jpeg
WhatsApp Image 2024-11-25 at 07.59.43 (2).jpeg
WhatsApp Image 2024-11-25 at 07.59.43 (2).jpeg
WhatsApp Image 2024-11-25 at 07.59.43 (2).jpeg

#Siku7ZaKubebaKilaKitu
#PigaKuraJengaKitaa
#TunazimaZoooteTunawashaKijani
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-11-25 at 07.59.43 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-25 at 07.59.43 (1).jpeg
    157.5 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-11-25 at 07.59.44.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-25 at 07.59.44.jpeg
    671.2 KB · Views: 1
Back
Top Bottom