Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Unakaa Mtwara Nn?Picha plz wengine hatujui konyagi ndio nini
Inamaana mtwara ndo hawajui konyagiUnakaa Mtwara Nn?
Kwahiyo kujua vinywaji ndio ujanja?Unakaa Mtwara Nn?
Ww Nawe Wa Mtwara KumbeKwahiyo kujua vinywaji ndio ujanja?
Utakuwa unazungumzia lijiLUSEKELO........(jibapa)Wadau Binafsi Nimepata Kuiona Konyagi Mpya Na Vile Vile Nimepata kunitumia.
Hii Mpya Inaujazo wa ML 750 Ndio Kubwa Zaid
Ipo Bomba Sana Hii Itakuwa Inaitwa Faru John jina La Utani
Jion Njema
Inaisha next wikoBora likizo imalizike jamani...
Kwani kuwa mtu wa Mtwara kunaninyima haki ya kuwa binadamu?kuelimika ni pamoja na kuheshimu utu wa mwenzakoWw Nawe Wa Mtwara Kumbe
Mpya kwenu tu hyo ipo toka zamaniWadau Binafsi Nimepata Kuiona Konyagi Mpya Na Vile Vile Nimepata kunitumia.
Hii Mpya Inaujazo wa ML 750 Ndio Kubwa Zaid
Ipo Bomba Sana Hii Itakuwa Inaitwa Faru John jina La Utani
Jion Njema
Toka 2016 na tunaiita JIBAPALabda kwako ni mpya, lakini kwa wanywaji wanaijua kitambo!
tigo=MarindaUnamaanisha bunge la bajeti kumbe?nyie watoto wa siku hizi mnaviswahili baraaa.eti pesa mingi mnaita mpunga.makalio mwaita msambwanda au chura.