Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Demokrasia ni mtindo wa kiutawala ulioasisiwa na Warumi ambapo uwakilishi wa wananchi na uongozi huamuliwa kwa kura za wananchi wenyewe.
Na demokrasia ilianzishwa hata kabla ya Kristo(BC), lakini hii demokrasia ya kisasa haina hata miaka 200 kwa nchi zilizoendelea.
Ukweli ni kwamba nchi zilizoendelea kiuchumi na kijamii ndizo zilianzisha hii tunaita modern democracy.
Sasa hivi inaelekea ndani ya nchi zilizoendelea kwa kiwango cha uu, Uingereza, Marekani na hata Ujerumani, demokrasia inataka kukunjwa ili iwapendelee watu fulani tu-hasa wenye pesa.
Some people are more equal than others!
Kitendo cha Rais Trump kuandaa "mapinduzi" ya kuiteka dola na kuzuia rais mpya Biden kuapishwa, January 6 Riots(6th Jauary 2021), ni kielezo cha Ufashisti kutaka kuingia Marekani.
edition.cnn.com
Ujerumani, hivi karibuni wamekamatwa watu 22, kwa kutaka kuipindua serikali ya Ujerumani!!
edition.cnn.com
Haya mambo sisi tukifikiri ni ya dunia ya tatu!!!!
Na demokrasia ilianzishwa hata kabla ya Kristo(BC), lakini hii demokrasia ya kisasa haina hata miaka 200 kwa nchi zilizoendelea.
Ukweli ni kwamba nchi zilizoendelea kiuchumi na kijamii ndizo zilianzisha hii tunaita modern democracy.
Sasa hivi inaelekea ndani ya nchi zilizoendelea kwa kiwango cha uu, Uingereza, Marekani na hata Ujerumani, demokrasia inataka kukunjwa ili iwapendelee watu fulani tu-hasa wenye pesa.
Some people are more equal than others!
Kitendo cha Rais Trump kuandaa "mapinduzi" ya kuiteka dola na kuzuia rais mpya Biden kuapishwa, January 6 Riots(6th Jauary 2021), ni kielezo cha Ufashisti kutaka kuingia Marekani.
Opinion: Trump's call to terminate the Constitution should be the final straw for the GOP | CNN
It's a sad day for democracy when a former US President calls for the termination of our nation's founding document and principles, writes former Republican Ashley Pratte Oates.
Ujerumani, hivi karibuni wamekamatwa watu 22, kwa kutaka kuipindua serikali ya Ujerumani!!
Germany arrests 25 suspected far-right extremists for plotting to overthrow government | CNN
German officials arrested 22 suspected members and three suspected supporters of a far-right terrorist organization across the country on Wednesday on suspicion of plotting to overthrow the government.
Haya mambo sisi tukifikiri ni ya dunia ya tatu!!!!