Fashion mpya in town: Je, utanunua hii sneaker kwa mil 1.5?

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,298
Reaction score
7,612
Brand ya kifahari ya Balenciaga imetangaza inakuja na fashion new old ya kiatu aina ya Distressed paris converse. Hata hivyo pea zilizopo ni chache na hazizidi pea 100.

Kiatu hiki cha Distressed Paris Converse chenye muonekano wa kuchakaa na kuchafuka kitapatikana katika rangi nyeusi, nyeupe au nyekundu ambapo bei yake inaanzia $625 Tsh. milioni 1.4 hadi $1850 Tsh. milioni 4.3

Je, we Umevutiwa na kipi hapo kumbuka vipo vichache tu? [emoji2]

 
Wazungu wapuuz sana KANYE WEST once sold YEEZY Destroyed wool sweater at market price of $2,150 which is 4,998,750Tshs na watu walifurika dukan haha cheki sweater lenyewe....Aisee





 
Wasanii Kama Justin Biber watapendeza
 
Watu wanapenda ugaigai hilo sweater si Kama tu yale masuluali yaliyochanika chanika akivaa kijana sawa lakini unakuta mzee naye kavaa sa unajiuliza huyu alikuwa wapi wakati wa ujana wake?
Hayakuwepo .
 
Watu wanapenda ugaigai hilo sweater si Kama tu yale masuluali yaliyochanika chanika akivaa kijana sawa lakini unakuta mzee naye kavaa sa unajiuliza huyu alikuwa wapi wakati wa ujana wake?
Maadili hayana umri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…