Mie siwezi kuvaa vinjunga(vibukta hivyo), siwezi kuvaa modo yaani kasuruwali kamebanaaa, na wala siwezi kuvaa bwanga, msuruali huo kama enzi za fubu, pia nguo kama alizovaa huyo mase sivai, vitu ambavyo vipo kwenye trend huwa si mvaaji kwa kweli, jinzi ina rangi ya pink, sijui rangi za hovyo hovyo siwezi, kuvaa miwani kwangu changamoto, kipindi fulani vilitoka viatu vya yebo yebo kila bishoo anatinga, yebo yebo kali, mjinzi wa fubu na mjezi wa basketball, micheni inatiririka shingoni 😂, sijawahi fikiria kuvaa cheni.