Fastjet cancellation zimezidi

Wapenda dezo utawajua tu. FASTJET FASTJET kwani ndege nyingine hamzioni? achene upuuzi nyie jinga kabisa

Iko siku kauli hii itakuhukumu. Nakuombea siku nyingi zaidi ili uje utimize unabii huu!!
 
Aisee fastjet naona kama inaelekea shimoni kwa hizi international routes walizoanzisha. Hawana abiria kabisa so wana-cancel ili kuwakusanya abiria wengi kwa pamoja (DALA DALA-STYLE)
 
Fastjet wanakimbilia kuexpand wakati hata ndege hazitoshi.
 
Terms zao ziko hovyo kabisa..in case of flight cancellation, that becomes your problem.
 
Wapenda dezo utawajua tu. FASTJET FASTJET kwani ndege nyingine hamzioni? achene upuuzi nyie jinga kabisa

Hivi unaelewa maana ya Dezo? mtu anatoa pesa yake unawezaje kumwambia anapenda bure, ???
Halafu fahamu kuwa kuna classes za maisha kwa kila mtu, na tunatofautiana kwa kipato, usilazimishe kila mtu afanye jambo kwa uwezo wako, unaweza kusema precision, KQ au SAA ni nzuri lakini amini kuna watu hawapandi ndege hizo waki sight poor services. Kuna wengine hawajawahi kusafiri katika economy class, wao ni kila siku bussiness class,
Next time Ishi hali halisi, don't pretend
 
Hivi Tanzania kuna "passenger bill of rights"? FastJet ingetakiwa ikulipie gharama za hotelini nk.

Mkuu Jichola3, hiyo ''PBR'' uisemayo ni kwenye Airlines ambao ni wanachama wa IATA, lakini kwenye budget airlines ( Low Cost Carriers ) ambapo wengi wao si wanachama wa IATA, hawabanwi na vipengele vyovyote kama vya malazi n.k. ambazo ni liability kwa shirika, ndio maana ukiamua kupanda hizi LCC basi ujitayarishe kwa lolote..
 
Sawa Mkuu. Tanzania Civil Aviation Authority walitazame hili suala.
 
Fastjet achaneni na international flights mjikite kwenye domestic flights given the fact that ndege za humu humu hazitumii zaid ya saa 1 so mnaweza kupiga trip muwezavyo kama abiria wapo (demand)
 
Abiria in case mnapata tatizo lolote la airlines kwa Tanzania wapigie Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) Complaints section 0719100600 watakusaidia wana Whatsapp so unaweza hata kuchat/kuwatumia picha/video za tukio Zima
 
Wametoa sababu gani mzee za ku cancel? Nina ticket ya tar nane october kwa safari kama yako, kama vip isiwe tabu nianze mdo mdo lusaka harare....maana ukiacha fastjet sisi walalahoi hakuna option nyingine angani,
zaidi ya taqwa na falcon...
mkuu mambo ya taqwa na falcon umenikumbusha mbali sana, nakumbuka hadi city to city ilikuwa inakuja hadi Lusaka then tunaparamia hayo malori{me nayaita malori} ambayo chini kote yamejaa mizigo na spidi yake ukifika bongo salama unashukuru. kwani intercape si nilisikia inafika nakonde? au kamata juldan basi angalau uwe unalala coz safari ndefu iyo
 

Du we kweli mdau, unakumbuka hadi wakati city to city na Translux wakati wanakuja lusaka??? Vaal africa unaikumbuka?? Those were days,!!! , Yes juldan wanafika hadi nakonde ila hiyo route hawaleti full luxury busses, na sio direct bus to rsa, itabidi u connect lusaka , otherwise kama hutaki kubadili hela inabidi upande basi mpaka harare then pale upande la rsa , sijasafiri kwa basi siku nyingi, nahofu kuwa sina energy na uvumilivu iliokuwa nao kipindi kile, back in the days nilikuwa na uwezo wa kutanya round trip Dar ,durban ,Dar ndani ya wiki
 
mkuu enzi izo mishe zilikuwa hazijasomeka so muda wa kupoteza barabarani ulikuwa kibao, na we kweli noma coz kutoka dsm to joburg via Lusaka then ukifika joburg uunganishe Durban noma mchizi, nimeshawahi kujaribu iyo sio mchezo. Unakumbuka com air walivyokua wanatumia ndege za british airways kwenda sa,walikuwa cheap kama fast jet na safari zilikuwa nite kali alfajiri or tambo
 

Kwani mie ? na njaa!!! ilikuwa inanipeleka puta!!! , com air nawakumbuka, sikuwahi kuwatuma cos kwa wakati huo nilikuwa natoka na vinyago dar , ni kama ilikuwa haiwezekani kabisa kupanda na mabox ya vinyago kwenye ndege!!! . One. Option basi tu! Mkuu kuna safari za basi nilikuwa nafanya leo hii hata sitaki kuzikumbuka na sina tena uwezo huo..
 
basi lazima likupe hasira ya kutafuta pesa, tena we unayedeal na vinyago mkuu, hujawai kwenda na lori kweli kuescort mzigo wako? unajua dsm to Lusaka kungekuwa na barabara kama ya Lusaka to joburg safari iyo ingekuwa poa coz luxury buses zingekuwepo
 
Kwenda South kwa basi ni ku-risk kwa kweli kuna siku nilijaribu kwenda kwa basi kutokea Harare-Joburg nilishuhudia basi TRANSLUX ikiwa imepigwa risasi basi Zima (Matobo ya risasi kibao) wenyeji wakatuambia majambazi walivamia wakawaibia abiria baadae wakaanza kuvurumusha risasi ovyo ovyo!!
 
Fastjet achaneni na international flights mjikite kwenye domestic flights given the fact that ndege za humu humu hazitumii zaid ya saa 1 so mnaweza kupiga trip muwezavyo kama abiria wapo (demand)
mkuu fastjet hujawasoma vizuri vision yao, jamaa wanataka kuwa Africa low cost airline ndio maana wanajitahidi sana kufungua international routes, intl routes za Africa zina monopoly za kishenzi, unakuta route ina carriers 2, kwa kifupi hapo ni price fixing tu na manyanyaso kwa wateja, wewe kama mteja you either pay or you are grounded na sometimes unalipishwa na kunyanyaswa juu kwa kuwekwa transit masaa kibao
 
basi lazima likupe hasira ya kutafuta pesa, tena we unayedeal na vinyago mkuu, hujawai kwenda na lori kweli kuescort mzigo wako? unajua dsm to Lusaka kungekuwa na barabara kama ya Lusaka to joburg safari iyo ingekuwa poa coz luxury buses zingekuwepo
Hasira kwani kidogo? Kuna wakati nililazimika kusafiri na lori kweli , lakini ilkuwa risk sana hasa maeneo ya lusaka chirundu harare, yana ajali nyingi sana za malori kutokana na milima na miteremko mikali, ikafika wakati nikasema imetosha. Tz ni kama wafanyabiashara wanaigana, saivi naona kila tajiri wa basi ananunua youtong , anyway zina seat layout nzuri lakini sio confortable, juni likuwa rsa kapanda greyhound .. full hadi unachanganyikiwa kama kweli uko kwa basi... by the way unakumbuka "panthera azul " maputo to jhb?
 
mkuu unanichekesha sana, ofa za malori kusafiri bure hadi sa me nimezitolea sana nje, unakaa boda wiki 3 mambo gani. njia ya Maputo na Botswana sijawahi pita, me ni chirundu na Victoria falls. nikiwa me ni intercape tu, greyhound nilishawatema.
 
Haya mapya sasa. Najua mabingwa wa cancellations ni Precision Air na si FastJet. Au kuna wafanyakazi wa Precision mmeytumwa kuja kuwachafua wenzenu? Ngoja nitafuatilia nipate jawabu halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…