Nilikuwa nasikiliza afisa wao clouds fm asubuhi, anasema chakula ndani ya ndege ni cha kulipia ila unaruhusiwa kuingia na chakula chako ambacho hakitawaudhi abiria wenzanako. Mizigo nayo itakuwa inalipiwa; kilo ishirini za mwanzo ni shilingi elfu nane na kila kilo inayozidi ni shilingi elfu nane.
Nafikiri unawaongelea FASTJEST walionunua shares za Fly 540 ambao walikuwa pembeni wa Steers na si opposite! Check hii link Re-Admission and Acquisition - FastJet Plc
Nafikiri unawaongelea FASTJET walionunua shares za Fly 540 ambao walikuwa pembeni wa Steers na si opposite! Check hii link Re-Admission and Acquisition - FastJet Plc