FastJet: Mwanza - Kilimanjaro nauli tsh 32,000... (Bila VAT)

halafu Wi-Fi bei ya nauli ni 32,000Tshs sio 35,000Tshs kama ulivyobainisha kwenye heading....
 
Last edited by a moderator:
Gharama za uwendeshaji makampuni haya ya ndege ni kubwa sana hizo bei zitawashinda tu hivi karibuni labda hizo bei nizakuwavuta wateja then baadae watapandisha.
 
Napendekeza zianze kwenda na dodoma ili mashangingi yafutwe na mafuta ya ma vx yajenge mashule.fast jet hebu pangeni root ya dodoma watu wapumue.au mtamwogopa shabiby?nawapongeza kwa kuamua kwenda dodoma.
 
Kama alivyoeleza Watu8 hapo juu, nauli haipungui 94,000.

Ruti gani nyingine wanazo hawa? Zanzibar je?
 
ndege kama hizo niliziona ata malaysia,ukisafiri malaysia kwenda china,singapore,thailand etc nauli ya ndege ni cheap sana lakin haupewi msosi,pia ukiwa na mizogo ndio unachagiwa zaidi,wanasema uwingi wa mizigo kwenye ndege unakula mafuta,lakin ukiwa hauna mizogo unapeta,wenzetu asia umeanza siku nyingi
 

ni kweli hata hapo kongo zipo sikunyingi tu...hadi mbuzi unambeba ukitaka...
 
Hii ni kampuni mpya inayoanza safari za ndege, nauli ni bila VAT.

Kwa Dar office zipo mitaa ya Samora opp Wizara ya Nishati na madini karibu na Steers.

Uongo tu huo ni usanii. Kwani wamekuja wangapi na mbwembwe hizo kumbe utapeli.hakuna biashara ya mama ntilia kwenye issue ya usafiri wa ndege. Duniani kote huwa ni ghali sasa huyu ati 32,000 Tsh ! hata ukaweka navat of 18% is unthinkable na uongo
 
Vizuri kama wataweza sustain kwa muda hata miezi sita, Tsh 35,000 + 18% VAT + Airport Charges = affordable
 
Ndio utajua kwamba hiki tunachoita inflation ni fake, kuna watu wanafaidika nacho, enjoy the economical price.

True, kumbuka jinsi kampuni za simu zilitunyanyasa na bei za ajabu mwanzo mwanzo. They made superprofits. Next ni political leaders they are highly overated(though mediocre) ,they too will soon come tumbling down ,come new katiba that evens the playing field.
 
Hizo ndio ndege ambazo wanasema ni za bei rahisi
Sasa nnahisi kabisa kuwa humu ndani badala ya kupewa sandwich tutakuwa tunapewa UBUYU
Hata ukili mihogo na nguluka... si mlo pia au...?!!!
 
msosi unauzwa lakini kama ukiona huna hela fungasha furu, magimbi na mbatata toka home inaruhusiwa...

kwani kutoka mwanza had arusha inachukua dakika ngapi hadi ubebe mavyakula? chakula unakula mwanza maji unaenda kunywa arusha. mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…