"Pia tunazingatia kwenye aina moja ya ndege, ambayo ni Airbus 319 katika kampuni yetu, hii inapunguza gharama pia kwani tuna aina moja ya vipuri na wataalamu wa ndege." Fastjet blog. Nachotaka kukuambia ni kuwa katika route zao zote wanatumia Airbus 319 tu.
View attachment 118698
Sawa mkuu ahsante sana
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Sijawahi kusafiri nandege aina yaAir bus zaFastjet ila natumia usafiri wa angani mara kwa mara . Naomba unifafanuria ubora wahii 319 ukilinganisha nandenge zamashirika mengine kama zaKenya airways na precision. Kwamufano kwenye stability and reliability kwa abiria. AhsanteSidhani kama hii habari imekusaidia kujua ubora wa ndege hiyo ya air bus 319. Unless wewe ni msafiri wa mara kwa mara na hii airline ya fastjet, na hivyo unazijua vizuri!
"Pia tunazingatia kwenye aina moja ya ndege, ambayo ni Airbus 319 katika kampuni yetu, hii inapunguza gharama pia kwani tuna aina moja ya vipuri na wataalamu wa ndege." Fastjet blog. Nachotaka kukuambia ni kuwa katika route zao zote wanatumia Airbus 319 tu.
View attachment 118698
Sijawahi kusafiri nandege aina yaAir bus zaFastjet ila natumia usafiri wa angani mara kwa mara . Naomba unifafanuria ubora wahii 319 ukilinganisha nandenge zamashirika mengine kama zaKenya airways na precision. Kwamufano kwenye stability and reliability kwa abiria. Ahsante
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hapo nimekuelewa vizuri ntakuwa natumia usafiri waFastjet kuenda nakurudi Africa kusini. Nashukuru sana.Nakujibu kama ulivyouliza.
Fastjet (FN) wana aircraft aina za Airbus tu tangu wameingia Tanzania. Na ni A319 na A320.
Kenya Airways (KQ) wana range of equipments wanazotumia including Boeing, Embraer, Airbus, na wametoa order za dreamline.
Precision Air (PW) kwa sasa wanatumia ATR tu.
Kwa kuwa umeuliza ubora wa Airbus A319 jibu ni kuwa hizo aina za ndege ziko poa. Reliable and stable pia ila inapokuja suala la maintenance they are costly.
Otherwise ziko poa hazina tatizo. Kama una swali lingine uliza ntakujibu
Hapo nimekuelewa vizuri ntakuwa natumia usafiri waFastjet kuenda nakurudi Africa kusini. Nashukuru sana.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
wewe nawe una mbwembwe!Sijawahi kusafiri nandege aina yaAir bus zaFastjet ila natumia usafiri wa angani mara kwa mara . Naomba unifafanuria ubora wahii 319 ukilinganisha nandenge zamashirika mengine kama zaKenya airways na precision. Kwamufano kwenye stability and reliability kwa abiria. Ahsante
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums