Fastjet wasanii

Fastjet wasanii

yahyaam

Member
Joined
Feb 13, 2013
Posts
18
Reaction score
3
sijawahi hata kusafiri na bei wanayoitangaza . tutabaki kufika mbeya kwa mabasi tuu
 
Unatakiwa kufanya (booking + kulipia) mapema sana, at least mwezi na nusu kabla ya kusafiri,na ukumbuke bei inayowekwa kwenye matangazo ni kwa idadi flani tu ya viti, na ni duty free..!!ingiwa kwenye website yao mbona kila kitu kimo mule!! Africa's Low Cost Airline - fastjet
 
Mkuu hawa jamaa si wasanii mm huwa naenda Dar na kurudi hapa mbeya kwa 90,000 kamanda na kesho kutwa nasafiri tena kwa 69000 one way mkuu jipange na uwe una visit website yao mara kwa mara ukienda kwa agent imekula kwako na uliopie kwa mpesa kaka au tigo pesa
 
Wahudumu wao huduma kwa wateja wako nyuma sana ila wana mtandao mzuri. unaweza kununua tiketi kwenye mtandao, ukafanya marekebisho, ukabadirisha n.k.
 
Back
Top Bottom