Kingdom_man
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 405
- 462
Wadau
Nafikiria kununua shares za Fastjet. Kwa fikra zangu ni kwamba hii kampuni inakuwa kila kukicha wateji wengi kwa kuwa ni budget airline. Sasa wameanza safari za South Afrika na Mbeya hivi karibuni. Na wanampango wa kuanzisha FastJet Nigeria, Congo, S.A na Nchi nyingine za Afrika.
For long run profit vipi ninunue shares hizi au hii kampuni haitafika mbali? Maana Afrika fitna sana! Nauliza kabla Wadua mnipe Go-Ahead
So far FastJet doesn't make any profit. Shares zipo bei poa kidogo Tshs 6700 per share
Ushauri?

Nafikiria kununua shares za Fastjet. Kwa fikra zangu ni kwamba hii kampuni inakuwa kila kukicha wateji wengi kwa kuwa ni budget airline. Sasa wameanza safari za South Afrika na Mbeya hivi karibuni. Na wanampango wa kuanzisha FastJet Nigeria, Congo, S.A na Nchi nyingine za Afrika.
For long run profit vipi ninunue shares hizi au hii kampuni haitafika mbali? Maana Afrika fitna sana! Nauliza kabla Wadua mnipe Go-Ahead
So far FastJet doesn't make any profit. Shares zipo bei poa kidogo Tshs 6700 per share
Ushauri?
