Fat/unene juu ya shaft, nipeni ushauri

Michelle, nijitahidi kufanya mazoezi, ama dayati siiwezi kusema ukweli, nasio kama natumia mafuta or vyakula vya fat na masamli. Chakula changu ni normal, sijui nimesibiwa na nini labda kama ulivyosema kuna mushkel mwengine. Thanks.

7", vp unatumia kwa ajili ya ENDOSCOPY nini??????!!!!!!
Wenzio tuna 4" lkn mambo swafiiiii, tena smtms unaambiwa usiingize yote UNANIUMIZA!!!!!!
Wakina dada nisahihisheni kama siko right.
 
Tatizo si hilo! Nadhani sijui ni njaa hii shaft? Misosi yake nadhani inatakiwa ndo maana unatakiwa uwepo wako

:A S 13:duh,kumbe sikumuelewa mgonjwa? mimi nipo tu....namuomba asogee karibu anieleweshe vizuri,kusaidia kwenye matatizo ndo kazi yangu nayopenda,nipo kwa ajili yake.......:wink2:
 

Naona unataka kujenga bomu ndani ya suruali au kaptula mmh
 
Kawaida bwana isikukatishe tamaa mkuu
 
ha hahaaaaaaaaaaa Dr. Michelle lol!!
 
kwani ukipiga mashine haipiti? kama unagonga mzigo na unapata raha hayo mengine achan anayo kinenepe au kikonde hakikuhusu

Mkuu JINO, sina tatizo na kubinjuwa nashukuru Mola.
Basi nilidhani kuna utaratibu wa kupunguza ile fat.
 

Nakupa shukurani hapo.:wink2:
 
adipose tissue zinahifadhiwa kirahisi ila kuzitoa ni kimbembe.... muunganiko wa mazoezi na chakula ( mlo ) maalum ndo dawa..
 
Ni umaskini tu wa nchini kwetu ulaya kuna viclinic vya plastic surgery wananyonya mafuta yote ambayo huyataki lol sijui wanaiitaje ile procedure, ila ni kitu cha kawaida ila kinaboa sana kikiwa kwa mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…