Fatema Dewji aula Singida Black Stars, awa mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi akiongozwa na Omary Kaaya

Fatema Dewji aula Singida Black Stars, awa mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi akiongozwa na Omary Kaaya

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wadau wa Soka la Bongo, Mmesikia huko?

Fatema Dewji ambaye ni mdogo wa Mohammed 'Mo' Dewji, ameteuliwa kuwa mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Singida Black Stars.
IMG_0552.jpeg
Wapo Omary Kaaya, Athumani Kihamia, Hussein Nyika wote wamewahi kuitumikia Yanga na kufanya Klabu hiyo ya Walima Alizeti kuwa kama Kariakoo Combine 👀
IMG_0551.jpeg
 
Back
Top Bottom