Fatma Karume asikitishwa kesi ya urithi wa nyumba kuendeshwa mahakamani kwa miaka 20

Fatma Karume asikitishwa kesi ya urithi wa nyumba kuendeshwa mahakamani kwa miaka 20

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Mwanasheria Fatma Karume ameelezea kwa kirefu kisa kimoja cha utapeli wa nyumbani ya mirathi na kesi iliyofuatia mahakamani iliyodumu kwa muda wa miaka 20!

Kwa mfumo huu wa mahakama kuendesha kesi kwa miaka kuna watu wengi sana watakuwa wanateseka kuzipata haki zao, labda ndio maana watu huwa wanaona bure tu kukimbilia kwa wanasiasa kama Makonda na Jerry Silaa. Inasikitisha sana.

Screenshot_20250213-120522_X.jpg
 
Mwanasheria Fatma Karume ameelezea kwa kirefu kisa kimoja cha utapeli wa nyumbani ya mirathi na kesi iliyofuatia mahakamani iliyodumu kwa muda wa miaka 20!

Kwa mfumo huu wa mahakama kuendesha kesi kwa miaka kuna watu wengi sana watakuwa wanateseka kuzipata haki zao, labda ndio maana watu huwa wanaona bure tu kukimbilia kwa wanasiasa kama Makonda na Jerry Silaa. Inasikitisha sana.

View attachment 3235206
Hata kesi kukaa mwaka ni dhuluma pia!
 
Back
Top Bottom