Fatma Karume, Mansour Yusuf himidi katika siasa za Zanzibar

Fatma Karume, Mansour Yusuf himidi katika siasa za Zanzibar

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
Jana nilikutana na Fatma Karume katika Uzinduzi wa Maalim Seif Foundation.

Nilimkumbusha siku nduguze Wakili Awadh, Babu Ali, Salim Bimani na mimi tulipomsindikiza studio za Channel Ten kufanya kipindi kuhusu uchaguzi wa Zanzibar mwaka wa 2015.

Fatma Karume alikuwa na Mzee Joseph Butiku na niliwaomba kuwapiga picha.

Nimemsikiliza Fatma Karume na pia Mansour Yusuf Himld wakimzungumza Maalim Seif.

Hakika Maalim Seif kaacha urithi mkubwa Zanzibar.

Screenshot_20211106-132000_Facebook.jpg
 
Back
Top Bottom