Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakili Fatma Karume ameweka wazi mtazamo wake kuhusu kitendo cha baadhi ya Wabunge kugalagala chini kwenye vumbi kumshukuru Rais kwa kupeleka fedha katika maeneo yao. Akizungumza katika mahojiano na The Chanzo, Karume alisema kuwa kitendo hicho ni cha kujidhalilisha na hakifai.
Pia, Soma:
+ Rufiji: Akina mama wagalagala chini kumpokea Mbunge Mchengerwa Ikwiriri
+ Mbunge Injinia Stella Manyanya Alala Chini kabisa kumshukuru Rais Samia kwa Miradi ya Maendeleo
Pia, Soma:
+ Rufiji: Akina mama wagalagala chini kumpokea Mbunge Mchengerwa Ikwiriri
+ Mbunge Injinia Stella Manyanya Alala Chini kabisa kumshukuru Rais Samia kwa Miradi ya Maendeleo