Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ameandika hivyo kupitia mtandao wa twitter akionekana kutoa maoni yake kuhusian na kauli ya Prof. Kabudi ambapo ame-attach gazetli la JAMHURI
Msome hapa:
Palamagamba na profesa wengine wote walieandika zile ripoti fraudulent ni wakushatakiwa.
Innocent people walifungwa kwa miaka zaidi ya 2. Familia zimesambaratika. Maisha yameharibiwa. Wamefilisiwa.
Kwa UONGO!
Mnaelewa kuna crime ya ABUSE OF OFFICE?
Kwa kweli ni watu EVIL
Msome hapa:
Palamagamba na profesa wengine wote walieandika zile ripoti fraudulent ni wakushatakiwa.
Innocent people walifungwa kwa miaka zaidi ya 2. Familia zimesambaratika. Maisha yameharibiwa. Wamefilisiwa.
Kwa UONGO!
Mnaelewa kuna crime ya ABUSE OF OFFICE?
Kwa kweli ni watu EVIL