#COVID19 Fauci: Tafiti za kuhusu chanjo za corona kwa watoto wa miezi 6 zinaendelea

#COVID19 Fauci: Tafiti za kuhusu chanjo za corona kwa watoto wa miezi 6 zinaendelea

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mshauri wa Masuala ya Kitabubi wa Ikulu ya Marekani, Dr. Anthony Fauci amesema tafiti za kuhusu watoto wa miezi 6 hadi miaka 5 kuoatiwa chanjo ya #COVID19 zinaendelea

Kwa sasa watoto wanaopatiwa chanjo ni wa miaka 5 hadi 17 ambao pia wanaweza kupatiwa 'booster'. Walio chini ya miaka 5 hawapatiwi chanjo

Fauci amesema ndani ya kipindi cha nusu mwaka majibu yatakuwa yameshatoka kuhusu chanjo kwa watoto wa miezi sita hadi miaka 5

 
Mshauri wa Masuala ya Kitabubi wa Ikulu ya Marekani, Dr. Anthony Fauci amesema tafiti za kuhusu watoto wa miezi 6 hadi miaka 5 kuoatiwa chanjo ya #COVID19 zinaendelea

Kwa sasa watoto wanaopatiwa chanjo ni wa miaka 5 hadi 17 ambao pia wanaweza kupatiwa 'booster'. Walio chini ya miaka 5 hawapatiwi chanjo

Fauci amesema ndani ya kipindi cha nusu mwaka majibu yatakuwa yameshatoka kuhusu chanjo kwa watoto wa miezi sita hadi miaka 5

View attachment 2070258
Vijana mnaoendelea kuzaa watoto kwa kipindi hiki cha dunia, mnazaa permanently Slaves kwa Illuminatti, watoto wachanga nao watakuwa wakipigwa chanjo za uviko kwa kila atakayekuja duniani., nawashauri msizae watoto hadi wafute hizi chanjo za watoto, matokeo mengi yameonyesha kizazi chenye ugonjwa wa Autism/usonje na upungufu wa Kinga ya mwili. Vaccines nyingi zina mercury na nanometals kadhaa ili ku suppress immunity za watoto ili wawe wateja wa kudumu wa pharmaceutical industry.
Fauci, Biden, wakina Bush, Obama, BillGates, Elon Musk, hawa the Rothchilds ni ma Aliens, sio watu hawa.
 
Back
Top Bottom