tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Huyu bwana kwanza kabisa alikua ni mwizi wa mifuoni pale stendi kuu ya mabasi Arusha akiwa na mshirika wake mkuu anayeitwa Malebo walifanya kazi ya kuiba tena kwakutumia visu na mapanga lakini hapo baadae akamrudia Mungu na kuanza kuimba mapambio alipoona inamlipa ikawa ndio biashara kwasasahivi nasikia kahamia nchi jirani ya Kenya. Hii ndio historia fupi ya bwana huyu.
Nimeweza kumfahamu Munishi kupitia nyimbo, makala na video zake zinazoikosoa CCM wazi wazi kwamba kimezeeka na ni chama cha majambazi, hivyo kiondolewe madarakani. Hivi karibuni kaja na madai ya kutishiwa maisha na CCM. Naomba anayeijua historia ya huyu mtu, yupo wapi na anafanya nini. Anijuze.
Kumbe!!Huyu bwana kwanza kabisa alikua ni mwizi wa mifuoni pale stendi kuu ya mabasi Arusha akiwa na mshirika wake mkuu anayeitwa Malebo walifanya kazi ya kuiba tena kwakutumia visu na mapanga lakini hapo baadae akamrudia Mungu na kuanza kuimba mapambio alipoona inamlipa ikawa ndio biashara kwasasahivi nasikia kahamia nchi jirani ya Kenya. Hii ndio historia fupi ya bwana huyu.