Fauziyat Ismail Aboud dada mwenye sauti nzuri mno hasa akisoma taarifa ya habari, bado sauti yake iko vile vile Hadi leo

Fauziyat Ismail Aboud dada mwenye sauti nzuri mno hasa akisoma taarifa ya habari, bado sauti yake iko vile vile Hadi leo

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Katika miaka ya 80 na..... Alikuja Dada mmoja pale iliyokuwa inaitwa Radio Tanzania Dar-Es-Salaam alitokea Zanzibar.

Huyu Dada alikua na Sauti nzuri mno haswa akisoma taarifa ya Habari, na vipindi kadhaa.

Hakukaa muda mrefu akaenda ITV Akiwa ni mmoja wa walioanzisha ITV & Radio One.

Mpaka sasa sauti ya Fauziyat Ismail Aboud bado iko vile vile kwa sababu nilimsikia mwaka huu akisoma Habari TBC Wakati wa maadhimisho ya siku ya Mapinduzi Ya Zanzibar. Hapa nimeandika kwa kifupi sana.

Huyu ndiye Fauziyat Ismail Aboud, Naomba mnisaidie kumtakia heri katika siku yake. HAPPY BIRTHDAY DA FAUZIYAT!!!!!!!

1739703284792.jpg


Source Betty mkwasa
 
Katika miaka ya 80 na..... Alikuja Dada mmoja pale iliyokua inaitwa Radio Tanzania Dar-Es-Salaam alitokea Zanzibar. Huyu Dada alikua na Sauti nzuri mno haswa akisoma taarifa ya Habari, na vipindi kadhaa. Hakukaa muda mrefu akaenda ITV Akiwa ni mmoja wa walioanzisha ITV & Radio One. Mpaka sasa sauti ya Fauziyat Ismail Aboud bado iko vile vile kwa sababu nilimsikia mwaka huu akisoma Habari TBC Wakati wa maadhimisho ya siku ya Mapinduzi Ya Zanzibar. Hapa nimeandika kwa kifupi sana. Huyu ndiye Fauziyat Ismail Aboud, Naomba mnisaidie kumtakia heri katika siku yake. HAPPY BIRTHDAY DA FAUZIYAT!!!!!!!

Source Betty mkwasa
Nilikuwa naipenda Sana sauti ya Julius Nyaisanga, Uncle J, Buriani
 
Katika miaka ya 80 na..... Alikuja Dada mmoja pale iliyokuwa inaitwa Radio Tanzania Dar-Es-Salaam alitokea Zanzibar.

Huyu Dada alikua na Sauti nzuri mno haswa akisoma taarifa ya Habari, na vipindi kadhaa.

Hakukaa muda mrefu akaenda ITV Akiwa ni mmoja wa walioanzisha ITV & Radio One.

Mpaka sasa sauti ya Fauziyat Ismail Aboud bado iko vile vile kwa sababu nilimsikia mwaka huu akisoma Habari TBC Wakati wa maadhimisho ya siku ya Mapinduzi Ya Zanzibar. Hapa nimeandika kwa kifupi sana.

Huyu ndiye Fauziyat Ismail Aboud, Naomba mnisaidie kumtakia heri katika siku yake. HAPPY BIRTHDAY DA FAUZIYAT!!!!!!!

View attachment 3237656

Source Betty mkwasa
Atakuwa hanywi farujohn!
 
Katika miaka ya 80 na..... Alikuja Dada mmoja pale iliyokuwa inaitwa Radio Tanzania Dar-Es-Salaam alitokea Zanzibar.

Huyu Dada alikua na Sauti nzuri mno haswa akisoma taarifa ya Habari, na vipindi kadhaa.

Hakukaa muda mrefu akaenda ITV Akiwa ni mmoja wa walioanzisha ITV & Radio One.

Mpaka sasa sauti ya Fauziyat Ismail Aboud bado iko vile vile kwa sababu nilimsikia mwaka huu akisoma Habari TBC Wakati wa maadhimisho ya siku ya Mapinduzi Ya Zanzibar. Hapa nimeandika kwa kifupi sana.

Huyu ndiye Fauziyat Ismail Aboud, Naomba mnisaidie kumtakia heri katika siku yake. HAPPY BIRTHDAY DA FAUZIYAT!!!!!!!

View attachment 3237656

Source Betty mkwasa
Mimi namtafuta Christine Chakunegela popote alipo mwenye kujua alipo tuambizane
 
Fauziya Si Haba
Jambo La Kujadili Lipo Hata Yaliyomo Yamo
 
Hawezi kumefikia Glory Robinson aka mtoto wa mama soap!

Alikuwa RFA kwenye hakuna Kulala, shoo time nk. Mdada anasauti tamu sana.
 
Miaka ya 80
Hakukaa sana akaenda ITV
Yaani ITV ni kongwe ila sio ya miaka ya 80 mzee
 
Back
Top Bottom