Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu kama wewe ilibidi mpigwe makofi ya mashavuEti nimeingia fb namkuta mtu anauliza eti jamani napika pilau nikishaweka mahindi naweka nini tena arafu walio like 2000 walio comments 764 sasa hivi niakili kweli au na wewe upo hivyo?
Kofi la kichwa ndio zuri kurestore brainWatu kama wewe ilibidi mpigwe makofi ya mashavu
Wengi madomo zege waliokubuhu kabisaHuyo utakuta ni mwanamke kauliza ivyo.
Ata hapa jf atokee member wa kike aulize jinsi ya ku-like post utashangaa page zitakavyo kimbia kama Usain Bolt sasa uliza wewe mwanaume chochote utapata jibu
Kwahiyo ulikua mmoja wa wale 764. Hivyo nyote akili zenu zinafanana.kwavile sipendagi ujinga na mimi nikamwambia weka pilipili kilo1½ kisha weka chumvi debe limao debe 3 ili wanijue na mimi sipendagi ujinga
Sasa na wewe ulivyomjibu hivyo ni akili kweli? Hapo hamna tofauti ya wewe na huyo mtukwavile sipendagi ujinga na mimi nikamwambia weka pilipili kilo1½ kisha weka chumvi debe limao debe 3 ili wanijue na mimi sipendagi ujinga
mbona ni kama na wewe akili zako ni kama tu hao jamaa zako wa fbEti nimeingia fb namkuta mtu anauliza eti jamani napika pilau nikishaweka mahindi naweka nini tena arafu walio like 2000 walio comments 764 sasa hivi niakili kweli au na wewe upo hivyo?
hahahahahahaha..... mkuu naona una jiandaa kufunga nae mwakaNa huu ujinga wako rudisha huko Fb
Huyo utakuta ni mwanamke kauliza ivyo.
Ata hapa jf atokee member wa kike aulize jinsi ya ku-like post utashangaa page zitakavyo kimbia kama Usain Bolt sasa uliza wewe mwanaume chochote utapata jibu