Zaidi ya watu watano wakiwemo mabosi wa TelexFree wanashikiliwa na FBI/SEC kwa makosa ya jinai ya wizi kwa njia ya mtandao! Mamilioni ya 'wawekezaji' wanaidai TelexFree zaidi ya US$1b akiwemo mmoja toka jijini Boston aliyetumbukiza dola milioni moja na laki tatu cash.
Watu wengi pia toka barani Africa hasa katika nchi za Rwanda, Uganda, South Africa na Tanzania ni miongoni mwa wahanga wa biashara hii haramu ya upatu ya TelexFree!
source: http://www.bostonglobe.com/business/2014/04/16/feds-raid-telexfree-offices-widening-internet-fraud-probe/f1y9i2vmqNvdEtZCkcygOM/story.html