FC Barcelona karibu sana Tanzania

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Nimeona kupitia Channel TEN jana na kwenye magazeti kuwa timu bora Ulaya ya FC Barcelona (veterans) itatembelea nchi hii na kuwa na mechi tarehe 28 March mwaka huu. Ni habari ya kufurahisha haswa kwa vile hasimu wetu Real Madrid walijiona sana kwa timu yao (veterans) kufanya ziara hapa. Barca, Barca, Baaaaaaaaaaarca karibu sana Tanzania.
 
Ronaldinho Gaucho, Thiery Henry na Samwel Etoo nao watakuja? Au wenyewe hawajafikia kuitwa wakongwe wa Barcelona?
 
Mi hata hiwa sioni umuhimu wowote wa hawa watu kuja Tz, kwani ni kujidanganya kuwa tutaweza kuinua kiwango cha mpira kwa kucheza mabonanza na hao, walikuja brazil mkadanganywa ni fulsa nzuri ya kuinua kiwango chetu cha mpira, hadi leo hakuna chochote, wakaja wakina figo na leo wanakuja wakina latric kluvet bado mnanidanganya tena, Andy cole amekuja mala ngapi? Kuna changes gani zimetokea, Hivi huwa hawaoni sehemu nyingine pa kwenda mwa watu walio serious na mpira wa miguu!!!! Au kuna agenda gani ya siri inayowavutia kila mala kuja Tz!??? Hapana there is something here, haiwezekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…