FC Barcelona, MSN, Dar Young Africa, MTN

FC Barcelona, MSN, Dar Young Africa, MTN

youngsharo

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,491
Reaction score
500
Wakati kombinesheni ya Messi, Suarez & Neymar ikizidi kufanya vizuri Ndani ya kikosi cha BARCELONA na kuwa tishio kwa vilabu pinzani duniani, Dar Young Africans ya Tanzania imekuja kivingine na combination ya wachezaji watatu ikiwemo mchezaji mpya aliyeingia msimu huu.

Wachezaji hao Ambao wamepewa jina la MTN ni Msuva, Tambwe & Ngoma, Yanga imeonekana kuimarika zaidi kwa kushinda mechi zake zote za kirafiki, ikiwa ni harakati za kujiandaa na Kombe la Kagame hapo july_18.

Mechi yake ya kwanza katika kombe la kagame Yanga itamenyana na Gor Mahia kutoka Kenya, mechi ambayo ni moja kati ya michezo mitatu ya ufunguzi.
 
Hapo wakenya wajiandae kula za kutosha.
 
hahaaa! umeonae? mkolaj
Mkuu' kwa kikosi hiki kipana cha yanga afrika cha msimu huu lazima timu pinzani zile kichapo,
Huku winga ya kulia kuna msuva, winga ya kushoto kuna mwashiuya, kumi weka ngoma na center straiker anamaliza tambwe, hapo timu pinzani inatokaje salama!!!!?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu' kwa kikosi hiki kipana cha yanga afrika cha msimu huu lazima timu pinzani zile kichapo,
Huku winga ya kulia kuna msuva, winga ya kushoto kuna mwashiuya, kumi weka ngoma na center straiker anamaliza tambwe, hapo timu pinzani inatokaje salama!!!!?

wasubiri maumivu tu.
 
yanga bhana kwa kujipa moyo hawajambo ,, subirieni mvunjwe ungo huko kagame ! tuje tuwamalizie vpl
 
Back
Top Bottom