Imedhihirika jana baada ya mechi kali ya el clasico kwa mpambano ule ambao ulishuhudia Barcelona wakitumia zaidi ya dakika 50 wakicheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja na bado wakafunga bao na wakaendelea kushambulia timu pinzani kana kwamba hakukua na upungufu.
Ikumbukwe mechi ya mzunguko wa kwanza Barcelona walishinda 3-0 uwanja wa nyumbani wa Real Madrid na oka imeanza ligi msimu huu Barcelona haijapoteza hata mchezo mmoja na imebakiza mechi tatu imalize msimu.
Hebu tuendelee kuwafuatilia Jumatano hii usiku game ya mwanzo ikifuatiwa na game ya Real Madrid na Sevilla.Hakika Barcelona ni wafalme wa muda wote La liga.
Ikumbukwe mechi ya mzunguko wa kwanza Barcelona walishinda 3-0 uwanja wa nyumbani wa Real Madrid na oka imeanza ligi msimu huu Barcelona haijapoteza hata mchezo mmoja na imebakiza mechi tatu imalize msimu.
Hebu tuendelee kuwafuatilia Jumatano hii usiku game ya mwanzo ikifuatiwa na game ya Real Madrid na Sevilla.Hakika Barcelona ni wafalme wa muda wote La liga.