Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Mshambuliaji wa kimataifa wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars na FC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta.
Klabu ya Genk ya Ubelgiji imekataa dau la Euro milioni 13 kutoka kwa timu ya Cardiff City ya Wales.
Dau hilo ambalo liliwekwa jana jioni lilikuwa ni la kwanza kufanywa na haijulikani kama Cardiff City wataongeza dau hilo.
Cardiff City wanatafuta mshambuliaji na pia wanamfuatilia mshambuliaji wa Nantes ya Ufaransa Emiliano Sala ambapo bado timu hizo wanazungumza.
NB:
Habari hizi ni kutoka vyanzo mbalimbali vya uhakika.
Picha kwa hisani ya Photonews kupitia Getty Images.