FCC, TCRA, Pitieni jina la Crown Fm linashabihiyana na Clouds Fm!

FCC, TCRA, Pitieni jina la Crown Fm linashabihiyana na Clouds Fm!

nyumbamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2017
Posts
1,033
Reaction score
895
Jana (Julai 01' 2024) ndio siku rasmi Crown Fm wameanza kutangaza baada ya kumaliza majaribio, na leo ( Julai 02' 2024) wamerusha kipindi cha michezo.

Kwa mtazamo wangu naona jina la Crown Fm na Clouds Fm kama hautakuwa makini katika usikilizaji unaweza sikIa kama wametamka Clouds Fm, na hiyo yote inachagizwa na watangazaji walewale waliokuwa Clouds Fm wamehamiya Crown Fm.

Maoni yangu Fear Competition Commission "FCC" na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania "TCRA" wapitie usikivu wa matamshi kwa upande wa wasikilizaji kuona kama kutakuwa na athari yoyote.
 
Jana (Julai 01' 2024) ndio siku rasmi Crown Fm wameanza kutangaza baada ya kumaliza majaribio, na leo ( Julai 02' 2024) wamerusha kipindi cha michezo.

Kwa mtazamo wangu naona jina la Crown Fm na Clouds Fm kama hautakuwa makini katika usikilizaji unaweza sikIa kama wametamka Clouds Fm, na hiyo yote inachagizwa na watangazaji walewale waliokuwa Clouds Fm wamehamiya Crown Fm.

Maoni yangu Fear Competition Commission "FCC" na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania "TCRA" wapitie usikivu wa matamshi kwa upande wa wasikilizaji kuona kama kutakuwa na athari yoyote.
Mmh wewe hiyo ndo kero yako, watanzania buana lo!!! wakati huku tunaumiza na tozo zio sio eleweka
 
Ni kweli yanafanana Clouds Fm waende kufungua kesi mahakama ya Ya ushindani wa biashara ya FCC

Neno la biashara linatakiwa tu lisifanane tu kimaandishi bali pia na matamshi yasishabihiane kwa karibu

Mfano kutamka neno crown na crowd yanakaribiana mno kwenye kutamka

Wafungue kesi
 
Jana (Julai 01' 2024) ndio siku rasmi Crown Fm wameanza kutangaza baada ya kumaliza majaribio, na leo ( Julai 02' 2024) wamerusha kipindi cha michezo.

Kwa mtazamo wangu naona jina la Crown Fm na Clouds Fm kama hautakuwa makini katika usikilizaji unaweza sikIa kama wametamka Clouds Fm, na hiyo yote inachagizwa na watangazaji walewale waliokuwa Clouds Fm wamehamiya Crown Fm.

Maoni yangu Fear Competition Commission "FCC" na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania "TCRA" wapitie usikivu wa matamshi kwa upande wa wasikilizaji kuona kama kutakuwa na athari yoyote.


Owner wa Clouds na Crown ni mmoja, hakuna haja ya kuisumbua TCRA or FCC
 
Jana (Julai 01' 2024) ndio siku rasmi Crown Fm wameanza kutangaza baada ya kumaliza majaribio, na leo ( Julai 02' 2024) wamerusha kipindi cha michezo.

Kwa mtazamo wangu naona jina la Crown Fm na Clouds Fm kama hautakuwa makini katika usikilizaji unaweza sikIa kama wametamka Clouds Fm, na hiyo yote inachagizwa na watangazaji walewale waliokuwa Clouds Fm wamehamiya Crown Fm.

Maoni yangu Fear Competition Commission "FCC" na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania "TCRA" wapitie usikivu wa matamshi kwa upande wa wasikilizaji kuona kama kutakuwa na athari yoyote.
fair competition commission badala ya fear competition commission.
 
We upo kwa keybord umejificha, hebu nenda pale Msimbazi Polisi kalianzishe wadau tupo nyuma yako.
Mimi nimeshazeeka niliandamana sana enzi zangu za CUF ngangari,kenya wameandamana vijana wa 2000 kama wewe,you have nothing to lose,huna mke,huna mtoto huna ajira,
 
Mtoa mana una matatizo ya akili ww, bc utakuja kusema cloud na clouds ni kitu kimoja.

Nyie ndio mkiwa viongozi mnaanza kufatilia madada poa wakati kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya.
Nenda pale TCRA kaombe leseni ya kuanzisha Redio station iitwayo "cloud" kama utapewa.
 
Na hilo kundi ndio kubwa nchini, yaani mambo ambayo hayana faida kwa maisha yao ndio muda mwingi hutumia huko!! Nchi ya ajabu sana
Kupanga ni kuchagua. Huo ni Uhuru. Wakati wewe hujui namna Gani utatumia Pesa zako, wengine hawana hizo Pesa. Ila Nao ni watu kama wewe pia.
 
Kupanga ni kuchagua. Huo ni Uhuru. Wakati wewe hujui namna Gani utatumia Pesa zako, wengine hawana hizo Pesa. Ila Nao ni watu kama wewe pia.
Sawa lakini haiwezekani yaani mpira ndio umekuwa jambo la kufuatilia zaidi kuliko mambo yanayohusu maisha yao? Hata Brazil haipo hivyo bnana!! Na ndio karata ya ccm hapo kwenye yanga na simba,
 
Jana (Julai 01' 2024) ndio siku rasmi Crown Fm wameanza kutangaza baada ya kumaliza majaribio, na leo ( Julai 02' 2024) wamerusha kipindi cha michezo.

Kwa mtazamo wangu naona jina la Crown Fm na Clouds Fm kama hautakuwa makini katika usikilizaji unaweza sikIa kama wametamka Clouds Fm, na hiyo yote inachagizwa na watangazaji walewale waliokuwa Clouds Fm wamehamiya Crown Fm.

Maoni yangu Fear Competition Commission "FCC" na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania "TCRA" wapitie usikivu wa matamshi kwa upande wa wasikilizaji kuona kama kutakuwa na athari yoyote.
Labda hiyo Crown FM ingeitwa Klaus FM ungekuwa na hoja kwa FCC
 
Back
Top Bottom