Superintendent kimura
JF-Expert Member
- Feb 24, 2023
- 333
- 1,316
Taasisi hewa Tanzania;FCC (The fair competition commission) kwenye mauzo yaliyofanyika ya kuuzwa singida big stars kwenda Singida Fountain gates FC sijaona kabsa sehemu yeyote kama walishiriki huu mchakato wa mauziano ILA kama ingekuwa simba au yanga hawa Jamaa wa FCC wangekuwa wametoka hadhalani kuulani mchakato mzima ila ni wanafiki balaa wanatumia tu kodi zetu za bure kunenepesha vitambi vyao
BungeTaasisi hewa Tanzania;
FCC
PCCB
TUME YA MAADILI
TUME YA HAKI ZA BINADAMU
TUME YA UWEKEZAJI
...
...
Ongeza!
Simba na Yanga zinamilikiwa na serikali, hakuna mchakato wowote wa kubinafsisha utakaofanikiwa, weka hili akilini mwako.FCC (The fair competition commission) kwenye mauzo yaliyofanyika ya kuuzwa singida big stars kwenda Singida Fountain gates FC sijaona kabsa sehemu yeyote kama walishiriki huu mchakato wa mauziano ILA kama ingekuwa simba au yanga hawa Jamaa wa FCC wangekuwa wametoka hadhalani kuulani mchakato mzima ila ni wanafiki balaa wanatumia tu kodi zetu za bure kunenepesha vitambi vyao
Wanakula mishahara ya buuureeeTaasisi hewa Tanzania;
FCC
PCCB...
Wanaangalia penye maslahiFCC (The fair competition commission) kwenye mauzo yaliyofanyika ya kuuzwa Singida Big Stars kwenda Singida Fountain gates FC sijaona kabsa sehemu yeyote kama walishiriki huu mchakato wa mauziano.
Ila kama ingekuwa simba au yanga hawa Jamaa wa FCC wangekuwa wametoka hadharani kuulani mchakato mzima ila ni wanafiki balaa wanatumia tu kodi zetu za bure kunenepesha vitambi vyao
Penye uzia penyeza rupiaWanaangalia penye maslahi