#COVID19 FDA ya Marekani yaidhinisha dozi ya tatu ya chanjo ama booster vaccine kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19

#COVID19 FDA ya Marekani yaidhinisha dozi ya tatu ya chanjo ama booster vaccine kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Taasisi ya Chakula na Dawa ama FDA ambayo ndio huithinisha matumizi ya madawa kwa binadamu nchini Marekani inatarajia kuidhinisha matumizi ya dozi ya pili ya chanjo ama booster vaccine shots (kwa waliopata Chanjo ya Johnson and Johnson) ama ya tatu kwa waliopata chanjo nyingine kama Moderna ama Pfizer.

Hii chanjo ya 3 inatokana na uhitaji wa kuongezea nguvu chanjo za awali ili kukabiliana na kirusi cha Delta na kirusi kipya cha Lambda ambacho kimeanza kusambaa nchi mbali mbali na inasemekana kimeonyesha hakizuiwi na chanjo zilizopo.

Izrael na mataifa mengine machache tayari yalishaanza kuchanja watu hiyo dozi mpya ya chanjo ili kuimarisha chanjo za awali mwilini.

Soma zaidi hapa👇
 
Mbonawata koma.

Na Mama aagize haraka azindue tenaf
 
Delta,
lambda virus on stage
gamma virus loading
chi virus loading

Mtapata vaccine shots mpaka akili ziwakae sawa enyi wakurupukia chanjo.
Weka akiba ya maneno usiwambie walochanjwa kuwa wamekurupukia chanjo hii Corona sio mchezo maelfu ya watu wamekufa sana pia shukuru mungu kwenye familia yako hakuna mpendwa aliyechukuliwa na huu ugonjwa.

Pia tumshukuru mungu kwa Neema alotukirimia Watanzania na Africa yote kwa ujumla kuliko mataifa mengine watu wamekufa mno na bado haijulikani hatima yake.

Kwa hiyo usiponde sana walochanjwa inaweza fika wakati hali ikachange hata hiyo chanjo usipate Tena ukawa umechelewa. Jifunze kuweka akiba ya maneno .Nakuombea wote walochanjwa afya zao.
 
Faida mojawapo ya kusubiri zaidi ni uwezekano wa kuja kuchanja latest version ya toleo jipya kabisa la vaccine ambayo itawavuruga hao delta, gama na wengineo
 
Faida mojawapo ya kusubiri zaidi ni uwezekano wa kuja kuchanja latest version ya toleo jipya kabisa la vaccine ambayo itawavuruga hao delta, gama na wengineo
Wachanganye tuu utasubiri afu huku unateketea? Mpaka sasa watu wenye pesa na vyeo wanashuka sasa sijui itakuaje
 
Analogous to a computer ant virus, uh ! Usually, the croocked computer software experts create the viruses, which are more highly contiguous to a computer application than the previous virus versions. Consequently, we have to buy a latest version of an ant virus software!!!

You see! The computer is human being, the computer viruses are ever dangerously changing covid variants; the ant viruses are vaccines-being supported by the coming same vaccine shorts, and the vaccine boosters are like a small patch software applied to fix the bugs in the application.😀😀😀

If a contiguous computer virus attacks a computer application while a computer user can not afford to buy a latest version of ant virus, then the user can decide to uninstall the infested window application and install a new window free of the virus. This is becoming difficult to tie it to the current the human being and a covid virus ! Will it be possible to "uninstall" infested lungs, and other parts of respiratory system, as well as the litres of bloods from human being? Who knows, maybe yes or no! This is why the 'computer guru' is denied an exit from this convictional saga!!

In a nutshell, through the 'nine eye perceptions' ( I reserve the tenth perception), maybe I am viewing an ultra-morden and vibrant human being slavery of its kind in the human history!
====

Naomba msaada wa kutafsiri bandiko hili kwa kiswahili ili wasioelewa lugha iliyotumika wajue kilichoandikwa. Natanguliza shukrani.
 
Wameshatuona wehu sasa
Aione Nguruvi3
😀 😀 😀 😀 😀
===
Tuliambuwa kadri tunavyoimarisha kinga za mwili kirusi kinaishiwa nguvu na kupotea, sasa hiki kimekuwa kama computer virus!!! Kila siku kinaibuka kirusi kipya na kikali zaidi na tunatakiwa kununua aina mpya ya anti virus kukikabili. Hii inaamsha maswali mengi kuliko majibu.
 
Potential authorization of another Covid-19 vaccine dose in immunocompromised people would apply to a very small segment of the population, US Centers for Disease Control and Prevention Director Dr. Rochelle Walensky said Thursday.

"Emerging data show that certain people who are immune compromised, such as people who have had an organ transplant and some cancer patients, may not have had an adequate immune response to just two doses of the Covid vaccine," Walensky said in today's White House Covid-19 Response Team briefing. "To be clear, this is a very small population. We estimate it to be less than 3% of adults."
Taasisi ya Chakula na Dawa ama FDA ambayo ndio huithinisha matumizi ya madawa kwa binadamu nchini Marekani inatarajia kuidhinisha matumizi ya dozi ya pili ya chanjo ama booster vaccine shots (kwa waliopata Chanjo ya Johnson and Johnson) ama ya tatu kwa waliopata chanjo nyingine kama Moderna ama Pfizer.


Hii chanjo ya 3 inatokana na uhitaji wa kuongezea nguvu chanjo za awali ili kukabiliana na kirusi cha Delta na kirusi kipya cha Lambda ambacho kimeanza kusambaa nchi mbali mbali na inasemekana kimeonyesha hakizuiwi na chanjo zilizopo.

Izrael na mataifa mengine machache tayari yalishaanza kuchanja watu hiyo dozi mpya ya chanjo ili kuimarisha chanjo za awali mwilini.

Soma zaidi hapa👇
 
Potential authorization of another Covid-19 vaccine dose in immunocompromised people would apply to a very small segment of the population, US Centers for Disease Control and Prevention Director Dr. Rochelle Walensky said Thursday.
It is just a matter of time. Sasa CDC inasema ni kwa hao immunocompromised people, baadae watasema for the general public.

Israel iliamza kwa kusema itatoa booster vaccine kwa watu wa miaka 60 na kuendelea baadae imesema ni for general population.

 
Chanjo ya tatu ni kwa kikundi cha wenye kinga hafifu-tusipotoshe ukweli.
 
Back
Top Bottom