Fear Women

SirAlfred006

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2020
Posts
517
Reaction score
1,243
Picture Story.

How many men have put aside their dreams and ambitions and instead decided to support their women.

And the women still left and went to seek warmth in other man's arms?

Fear women.
 
The boy has his bag on still.
Mkoba wake huyu mvulana ni yale maono na ndoto za mwanaume.

Anapatana na binti huyu. Naye pia anazo ndoto na maono ya kuenda mbali.
 
Kunanoga.

Bamdogo anaona kheri ampe kipusa huyu support 100 kwa 100.

Anasahau malengo yake.

Tabiri kitakachotokea.

Naam.

Kuna mtu kupupuchikwa na machozi.
 
Siku hazigandi.

Safari inakuwa ngumu.

Uchumi na morale unapungua.

Kidosho yupo makini bado na safari yake ya kufika juu.

Hana huruma kabisa. Fear Women
 
Panatokea bwana mmoja mtanashati. Kila kitu chake juu ya mstari.

Mrembo anaona hapo ndipo.

Huyo mlegevu wa awali ashafilisika.

Mbona asimwache?

Fear women
 
Bamdogo wetu anajaribu kumsihi binti asiondoke na kumwacha hoi bin tabani.

Mtoto Wa kike hana habari.

Ashakuwa zezeta. Hakumbuki tena kilichomwesha kufika hapo alipo sasa. Kiwango cha juu hiki.

Hahaha.

Men ?

Hadi lini ?
 
Fear men too… hiyo kifront man ameonyesha hapo ndio imemponza.
Angetulia, kila mtu apande kivyake.

#Women in every step you make, don’t forget to fear men.
 
Hii ni battle ya men vs men,haiwezekani mtoto wa kiume mwenzako apambane na msichana wake kisha baadae uje umzunguke au kumpora kabisa,Uaminifu hukaa kwenye Imani kama huna Imani huwezi kuwa Muaminifu,tujitahidi haya maisha tusiumizane yani usitumie nguvu uliyo nayo kumkandamiza alie chini yako,hii sio fear kabisa,sisemi kama Mwanamke ni mbaya ama Mwanaume ni mbaya ila sisi binadamu wote ni wabaya.

Chukua na hifadhi kauli hizi pia uzijue kuzitofautisha kulingana na mandhari uliyo kuwepo
1}TAMAA MBAYA
Na
2}USIKATE TAMAA.
 
Way back wanaume walikuwa wanapigana vita na kuteka falme kisha wajitwalie wake ila zama hizi eti tunaogopa wanawake. Nadhani hata wahenga wakituona huko walipo wanashika kichwa na kusikitika sana.
🤔
 
Fear men too… hiyo kifront man ameonyesha hapo ndio imemponza.
Angetulia, kila mtu apande kivyake.

#Women in every step you make, don’t forget to fear men.
Sasa kama we should fear each other kwa nini kuwe na ndoa?
Why should we sleep with one eye open
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…