Je kuna scientific proof au ni faith tu?Kumbuka Moses wakati wanapigana vita kuelekea Nchi ya ahadi, Kuna wakti vita ilikuwa kali na Mungu aliamua kusimamisha jua lisizame, na ndipo mwaka mmoja ukawa mfupi na mwingine mrefu. Ningeeleza vizuri ila sema nipo busy sana kumbomoa Mr Dj, Mr Zero, a.k.a muuza madawa yule KUB mnafiki na muongo
moses gani? wacha uongo.Kumbuka Moses wakati wanapigana vita kuelekea Nchi ya ahadi, Kuna wakti vita ilikuwa kali na Mungu aliamua kusimamisha jua lisizame, na ndipo mwaka mmoja ukawa mfupi na mwingine mrefu. Ningeeleza vizuri ila sema nipo busy sana kumbomoa Mr Dj, Mr Zero, a.k.a muuza madawa yule KUB mnafiki na muongo
Biblemoses gani? wacha uongo.
Musa yupi alipigana vita kuelekea nchi ya ahadi?Kumbuka Moses wakati wanapigana vita kuelekea Nchi ya ahadi, Kuna wakti vita ilikuwa kali na Mungu aliamua kusimamisha jua lisizame, na ndipo mwaka mmoja ukawa mfupi na mwingine mrefu. Ningeeleza vizuri ila sema nipo busy sana kumbomoa Mr Dj, Mr Zero, a.k.a muuza madawa yule KUB mnafiki na muongo
biblia yako inasema aliesimamisha jua lisizame ni musa/moses?Bible
Mwaka una siku 360 na robo,sasa ile robo huwa inajumlishwa kila baada ya miaka mitatu na ule wa nne ndo inakuwa mwaka mrefu wenye siku 361 naitwa leap year (mwaka mrefu).hiyo siku huongezwa mwez february ukafikisha siku 29.miaka ile mitatu mifupi ina siku 360 tuu.Habari
Nilipokuwa nasoma shule ya upili tulifundishwa long year na leap year. Ule mwaka unaogawanyika kwa nne(4) unakuwa long year yaani mwaka mrefu ambapo mwezi february unakuwa na siku 29.
Mwaka usiogawanyika kwa nne huu tunauita leap year yaani mwezi february unakuwa na siku 28.
Mwaka jana nilisoma makala moja iliyokuwa inaeleza hapo ilikuwaje. Katika kalenda ya julian ilikuwa ina shida ya kimahesabu. Kama tunavyojua dunia huzunguka siku 365 na robo. Sasa kila mwaka kwenye kalenda ya juliani ilikuwa zinaongezeka (sina uhakika) dakika moja.
Sasa kwa mahesabu iyo dakika moja inayoongezeka ikipita miaka na miaka inakuwa saa. Na saa zikiwa zinaongezeka inatokea siku. Sasa maana ya siku 365 na robo inapoteza maana.
Alipokuwa papa Gregorian alibadilisha huu mfumo na kuunda Gregorian kalenda ambayo tunatumia hii leo.
Nachotaka kukijua ni namna gani walitumia hesabu zao ili kuweza kuweka mlinganyo ambapo ulisaidia siku zibaki pale pale yaani siku 365 na robo. Walitumia kanuni gani kuisaidia dunia isipotee na upumbafu
Asante
Wew jamaa nimuongo sanaaa daah....but umenifanya niongeze cku kwa kuchekaKumbuka Moses wakati wanapigana vita kuelekea Nchi ya ahadi, Kuna wakti vita ilikuwa kali na Mungu aliamua kusimamisha jua lisizame, na ndipo mwaka mmoja ukawa mfupi na mwingine mrefu. Ningeeleza vizuri ila sema nipo busy sana kumbomoa Mr Dj, Mr Zero, a.k.a muuza madawa yule KUB mnafiki na muongo
Kama nakusoma hv..nilikosea mwanzoKama mwaka una siku 365 na 1/4 basi hiyo robo siku ndio tunaifidia baada ya miaka minne ili kuanza kuhesabu siku upya yaani 1/4 ukizidisha mara 4 unapata siku nzima ndio maana baada ya miaka minne mwezi February unakuwa na siku 29 mengine sijui.
PESA UNAIPATAJE BILA MAARIFA?????????????????????????????????Ulivyovijua vinatosha braza.... now tafuta vingine ambavyo vitakuletea manufaa katika maisha yako....
Tafuta pesa usitafute maarifa....
Hizi kalenda walizipanga wanadamu tuu,ingewezekana tusihesabu mwaka wala nini.Watawala wa Rumi na baadae mapapa ndo waliwekabhesabu hizi ili kutenganisha vipindi vya utawala wao.Wew jamaa nimuongo sanaaa daah....but umenifanya niongeze cku kwa kucheka