February mvua huwa zinazingua Tanzania kote

February mvua huwa zinazingua Tanzania kote

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kama ni mfuatiliaji wa mwenendo wa mvua nchini utagundua mwezi wa pili kuna shida sana ya mvua za uhakika watu wengi naona wanashangaa mvua ku stop ghafla ila hii ni kawaida kabisa kwa mwezi wa pili.

Mwezi wa pili mvua huwa Inakata na kama zitakuwepo basi za rasharasha.
 
Back
Top Bottom