FedEx wana tawi Moshi?

KeXMO

Member
Joined
Jul 25, 2021
Posts
20
Reaction score
0
Napenda kufahamu kama FedEx wana tawi lao Moshi? Na nawezaje agiza mzigo kutumia FedEx na nikapata mzigo wangu?

Naomba msaada kwa wazoefu
 
Nacho elewa,hata kama hawana tawi Moshi, mzigo wako ukiagizwa lazima Wana mechanism za kukufikishia mzigo wako,wanaweza wakukuletea wenyewe au wakuutma kwa njia nyingine...Mimi nlitmia UPS nkaupata
 
nikiwa arusha mara ya mwisho 2016 walikuwa na ofisi
 
Wana tawi mkuu.. mwanzo lilikua pale Kahawa house lakin kwa sasa wanehamishia ofisi boma road karibu na ofisi za uhamiaji. Opposite kabisa na jengo la YWCA
 
Agiza tuu kama kule wamekubali kupokea mzigo wewe wape.
Watafanya namna yoyote uupate
 
Nacho elewa,hata kama hawana tawi Moshi, mzigo wako ukiagizwa lazima Wana mechanism za kukufikishia mzigo wako,wanaweza wakukuletea wenyewe au wakuutma kwa njia nyingine...Mimi nlitmia UPS nkaupata
boss nmekupata na vp gharama za ups. Ziko vp kwa uzoefu wako
 
Wana tawi mkuu.. mwanzo lilikua pale Kahawa house lakin kwa sasa wanehamishia ofisi boma road karibu na ofisi za uhamiaji. Opposite kabisa na jengo la YWCA
Nashukuru kiongozi nitajaribu kufika niweze kupata information Zaid
Blessed bro!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…