johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa wale wapiga dili na mission town waliokaa mkao wa kula wakisubiri kufisadi fedha za Corona onyo limeshashatolewa.
Rais Samia amesema atawashughulikia watakaozifisadi au watakaobadilisha matumizi yake bila makubaliano.
Mungu ni mwema wakati wote.
Rais Samia amesema atawashughulikia watakaozifisadi au watakaobadilisha matumizi yake bila makubaliano.
Mungu ni mwema wakati wote.