Zilitoka zamani hivyo nilikuwa nimeshasahau
uko wapi?
Hapa mbeya jiji kimya mpk
leo mmmmh hili bunge la katiba limekomba hela zote. Nilijua niko pekee
yangu
We Nsumbanzunya utakuwa muongo tu,umepata wapi?.Zilitoka zamani hivyo nilikuwa nimeshasahau
Mzushi tuuu hyo au anafanya kaz kwa muhindi
Wilaya ya nyamagana tlishasahau zamaaaaaaaaaaaani