Fedha za likizo za walimu mwezi Juni zimeshatoka?

Showme

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,251
Reaction score
498
Kuna wilaya ambayo walimu wamelipwa fedha za likizo ya june 2014? Huku kwetu mpaka august inaisha hakuna kinachoeleweka.
 
Hapa mbeya jiji kimya mpk leo mmmmh hili bunge la katiba limekomba hela zote. Nilijua niko pekee yangu
 
Hapa mbeya jiji kimya mpk
leo mmmmh hili bunge la katiba limekomba hela zote. Nilijua niko pekee
yangu

Peke yako wapi!sasa huyo mwingine mbona kasema kapata na kasahau wao BMK haliwahusu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…