Fedha za nchi 7 kutoka Afrika ambazo zina thamani zaidi

Mbona hakuna namba moja....?! Ama ni METICAIS ya Mozambique...?
 
1: Dinar – Libya (1$= 1.4116)

Dinar ambayo ni fedha ya Libya inakamata nafasi ya kwanza kwa kuwa fedha yenye thamani na nguvu kubwa barani Afrika ambapo Dola moja hubadilishwa kwa Dinar 1.4116.

Dina Marius?( Kwa sauti ya Mkude Simba)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…