Fedha zinazotuvuruga zinatoka wapi?

Fedha zinazotuvuruga zinatoka wapi?

mtz one

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
4,284
Reaction score
1,221
Swali hili limewahi kuulizwa na mzee Joseph Butiku ktk barua yake kwa mwenyekiti wa CCM wa wakati huo B.W. Mkapa nami napenda kuuliza fedha hizi zinazotumiwa na watu katika genge la udini zinatoka wapi?

Ni vyema tujue maana nchi yetu sasa inapita ktk kipindi kigumu sana cha udini kama taifa inatupasa kuangalia suala hili kwa umakini sana maana udini huweza kupasua makundi bila kujali vyama ukanda au ukabila wa watu....

Namaliza kwa swali langu: Wakuu, fedha zinazotumiwa na wanaozunguka nchi nzima kuhubiri udini zinatoka wapi? Na tufanye nini kama taifa kujiepusha?
 
Hakuna fedha zinazotuvuluga!Hii ni Meli isiyokuwa na nahodha lazima iyumbe!
 
Kwenye nchi isiyokuwa na kiongozi kila mtu anaweza kujifanyia atakavyo..!
 
Hakuna fedha zinazotuvuluga!Hii ni Meli isiyokuwa na nahodha lazima iyumbe!
mkuu hv umewahi kusikia habari za akina ilunga?? huu muunganiko wa wanasiasa na udini hauuoni?? ndo mana nataka kujua fedha hizi zinatoka wapi??
 
Kwenye nchi isiyokuwa na kiongozi kila mtu anaweza kujifanyia atakavyo..!
na viongozi wetu wanachukulia mtaji wa kisiasa ngoja tuone huko mbeleni
 
Mbona TISS washadhibiti pesa haramu zote. Akina Ponda na Uamsho wote washazibiwa mirija ya pesa.
 
Mbona TISS washadhibiti pesa haramu zote. Akina Ponda na Uamsho wote washazibiwa mirija ya pesa.
ndo maana saa hz hawapumui naona walikuwa wanufaika wa ALQAEDA
 
Swali hili limewahi kuulizwa na mzee Joseph Butiku ktk barua yake kwa mwenyekiti wa CCM wa wakati huo B.W. Mkapa nami napenda kuuliza fedha hizi zinazotumiwa na watu katika genge la udini zinatoka wapi?

Ni vyema tujue maana nchi yetu sasa inapita ktk kipindi kigumu sana cha udini kama taifa inatupasa kuangalia suala hili kwa umakini sana maana udini huweza kupasua makundi bila kujali vyama ukanda au ukabila wa watu....

Namaliza kwa swali langu: Wakuu, fedha zinazotumiwa na wanaozunguka nchi nzima kuhubiri udini zinatoka wapi? Na tufanye nini kama taifa kujiepusha?

kama wao wanaweza kutununua manake au kwa tafsiri ya haraka haraka nao pia wameshanunuliwa,swali ni kuwa mnunuzi wao ni nani na madhumuni yake ni yepi?
 
kama wao wanaweza kutununua manake au kwa tafsiri ya haraka haraka nao pia wameshanunuliwa,swali ni kuwa mnunuzi wao ni nani na madhumuni yake ni yepi?
tusubiri tuone
 
Swali hili limewahi kuulizwa na mzee Joseph Butiku ktk barua yake kwa mwenyekiti wa CCM wa wakati huo B.W. Mkapa nami napenda kuuliza fedha hizi zinazotumiwa na watu katika genge la udini zinatoka wapi?

Ni vyema tujue maana nchi yetu sasa inapita ktk kipindi kigumu sana cha udini kama taifa inatupasa kuangalia suala hili kwa umakini sana maana udini huweza kupasua makundi bila kujali vyama ukanda au ukabila wa watu....

Namaliza kwa swali langu: Wakuu, fedha zinazotumiwa na wanaozunguka nchi nzima kuhubiri udini zinatoka wapi? Na tufanye nini kama taifa kujiepusha?

Christian Democratic Union CDU ya Ujerumani, Chama Cha Kikristo cha siasa cha ujeumani ambao ni wafadhili wakuu wa CHADEMA Tanzania.
 
Christian Democratic Union CDU ya Ujerumani, Chama Cha Kikristo cha siasa cha ujeumani ambao ni wafadhili wakuu wa CHADEMA Tanzania.
ndo majini yalivyokutuma??? naongelea mijadala yenu ya mfumo kristo mnapata wapi fedha?? na hiyo ndoa yako na ccm ni ya mashaka
 
Back
Top Bottom