Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,028
- Thread starter
-
- #21
Kaka yangu kwa jinsi mapenzi siku hizi yalivyo ni kama sinema usithubutu kutanguliza pesa mwanzoni. Inavyoonekana alishakusoma akajua unazo. Mwanamke gani siku ya tatu tu ushaanza kuomba hata haya hana kha!
Alikuwa ni mwanaJF?
Kweli Miss Mwakipunda mapenzi ya siku izi yameingiwa na pesa, ki ukweli hapa nimejifunza na nimegundua kitu
Ndio mwana Jf
ID yake plz.....
Habari zenu wana Jf!
Niliweka tangazo humu la kutafuta girlfriend, siku hiyo hiyo nilimpata.
Tukaonana, bada ya siku tatu akaanza kuomba pesa, siku ya kwanza nilimpa kama elfu sabini na tano, alisema mama ake anaumwa mala ya pili akaomba kilo, leo asubuhi tena kaomba laki tatu. Ukweli kimuonekano ni binti mrembo na ni mzuri kweli yani na anafaa kua mke.
Haya ndio yaliyo nikuta, na watu kama hawa ndio wana haribia wengine hadi tunakua tunaogopana.
Ndio mwana Jf
halafu unakuta hujawahi kumpa hata mama yako mzazi kipande cha khanga.
Mtaje ili uwaokoe na wengine!
Si ungemchana live ya nini kuja kulia lia humu jf kama mtoto
peleka hukooooo we ndo utakuwa umerithi tabia za kuhonga honga watu hovyo usiowajua kutoka kwa wazaz wako...mtu mzima gani wewe na akati mshamba wa mapenzi...we ni wa kishumundu nini???Uwe na nidhamu si kila unae muona humu usidhani ni mtoto kama umerithi tabia chafu kutoka kwa wazazi wako usi zilete humu jamvin ziishie huko huko kwa wazazi wako. Nani analilia humu?
Ndugu, kufanya ivyo nitakua nimekiuka sheria, ni sawa na kuleta mambo ya kwenye PM hapa hadharani
Habari zenu wana Jf!
Niliweka tangazo humu la kutafuta girlfriend, siku hiyo hiyo nilimpata.
Tukaonana, bada ya siku tatu akaanza kuomba pesa, siku ya kwanza nilimpa kama elfu sabini na tano, alisema mama ake anaumwa mala ya pili akaomba kilo, leo asubuhi tena kaomba laki tatu. Ukweli kimuonekano ni binti mrembo na ni mzuri kweli yani na anafaa kua mke.
Haya ndio yaliyo nikuta, na watu kama hawa ndio wana haribia wengine hadi tunakua tunaogopana.