Feedback FEEDBACK..!

peleka
hukooooo we ndo utakuwa umerithi tabia za kuhonga honga watu hovyo
usiowajua kutoka kwa wazaz wako...mtu mzima gani wewe na akati mshamba
wa mapenzi...we ni wa kishumundu nini???

Tatizo huyu bwana ni domo zege! Kama kutongoza hujui si uwaomba watu wa karibu wakupe mastyle mtoto wa kike haruki! Pesa cyo kila kitu Joh.
 

Hiyo kitu inanishangaza sana! wasichana wapo kila kona kuanzia kanisani maeneo mengne, Anashindwaje kufanya tafiti ni yupi atamfaa hadi anatafuta mitandaoni? ---- kweli huyu jamaa tena apige kimya kbs.
 
Tatizo huyu bwana ni domo zege! Kama kutongoza hujui si uwaomba watu wa karibu wakupe mastyle mtoto wa kike haruki! Pesa cyo kila kitu Joh.
kaka umeona eeehh...halafu lenyewe linaona misifa kumpa elfu sabini na tano siku ya kwanza na akat demu hamjui kampatia humu...watoto wa kike sometimes wanaangaliaga jinsi mtu alivyo ndo wanamletea swagger hzo za kumchuna sasa usikute jamaa domo zege halafu kajsifia ana hela basi ndo mtoto wa kike ndo akaona huyu ndo boya wa kumchuna....na ukitaka kuprove huyu jamaa ni mfalme wa madomo zege anakuja kutoa malalamiko yake humu badala ya kumchana live demu mwenyewe
 
vizuri km umejionea mwenyewe,wanawake wa siku hizi njaa,yaani cjui tabia hizo wanatoa wapi,wanasababisha tuwawazie vibaya wazazi wao kwa kurejea msemo wa mtoto umleavyo ndivyo akuavyo..............cwez kurisk maisha yangu kwa washenzi wa hivyo.
 
Ila ka vp tupe hiyo ID yake hata kwa pm
 
ah ah! mama yangu ndio kila kitu na hata mshahara wangu unapitia kwenye account yake

Mh! Hunifai mm nilkuwa nataka niku PM , ili tuonane, sasa pesa zote kashikilia mama, sasa itakuwaje,maaana mimi nilikuwa nataka tuonane pale Subway, jioni halafu sitakuomba pesa nyingi ni laki 8 tu, maana nimesimamishwa chuo nataka pesa za kumalizia .
 
Subway oposite na serena hotel? Kama ni penye ni mitaa yangu hiyo ya kujiachia
 
Wewe hazikotoshi na ndio maana huna nidhamu, humu hatujuani bwana mdogo! Unafikiri kwanini kuna ili jukwaa la love conect? Sio unalopoka pasipo kufikiria kajifunze nizamu usije shangaa ukakuta na mgonga mama wako
Tatizo huyu bwana ni domo zege! Kama kutongoza hujui si uwaomba watu wa karibu wakupe mastyle mtoto wa kike haruki! Pesa cyo kila kitu Joh.
 
Mjing wewe huna nidhamu na hujitambui hata kidogo, unafikiri kwanini kuna Love conect? Ngoja uje ukute mama wako anagongwa na domo zege ndio utashika adabu, usiwe na dharau kwa mtu usie mfahamu.
Hiyo kitu inanishangaza sana! wasichana wapo kila kona kuanzia kanisani maeneo mengne, Anashindwaje kufanya tafiti ni yupi atamfaa hadi anatafuta mitandaoni? ---- kweli huyu jamaa tena apige kimya kbs.
 
One day utaniita baba mdogo, jing@ wewe nenda nyumbani ukafundishwe nidhamu humu kuna watu wakubwa kuliko mama yako na baba yako so, jiangalie unapo mjibu mtu
 
Ukweli ndugu hawa ndugu zetu sijui wanaingiwa na nini aisee, tena mie nilikubali hata kusaidiana ku kulea mtoto ila ndio ivyo mwenzangu tamaa ya pesa mbele
vizuri km umejionea mwenyewe,wanawake wa siku hizi njaa,yaani cjui tabia hizo wanatoa wapi,wanasababisha tuwawazie vibaya wazazi wao kwa kurejea msemo wa mtoto umleavyo ndivyo akuavyo..............cwez kurisk maisha yangu kwa washenzi wa hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Duh! hatari bora ningekua na hicho kiwanda ningeyafanya ila duh! ni mateso mtu nime kubali kua nae japo nime mkuta na mtoto ambae nilikua nipo tayali kuzaa nae kha! Binadamu bana
Mkuu unafanya kazi kiwanda cha pesa nini...ili kujua kama kweli anakupenda ombi lake la mifweza ungelitolea nje halafu ungejibanza pembeni uone kama kweli anakupenda au lah!!
 
Why kuna love conect na lina kazi gani hili jukwaa? Jing@ wewe usie na akil za kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…