Roxea
Senior Member
- May 18, 2012
- 182
- 48
Wapendwa wanajamvi mie nlikua nnaomba wanajamvi ambao mnaleta incidences,situations au chochote na kisha wanajamii wanatiririka kwa ushauri,maoni,jokes na wakati mwingine hara kupata exactly ulichohitaji au kusaidiwa kwa jinsi yeyote ile ningeomba bhasi tuwe tunarudi hapahapa jamvini ku-appriciate kile wanajamvi wamekuprovide na kama haitoshi bhasi tukaendelea kukuprovide vitu adimu. Hii pia itasaidia kuboresha jamvi lakini pia kutanua wigo wa jamvi mara tu utatuzi wa situations unapo onekana wazi au kuthibitishwa na aliepata ufumbuzi,
Ni hayo tu wanajamvi,
Regards.
Ni hayo tu wanajamvi,
Regards.