Fei Toto Kama Hujasaini Azam basi Nenda Simba

Fei Toto Kama Hujasaini Azam basi Nenda Simba

Mkongwe Mzoefu

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2018
Posts
861
Reaction score
2,515
Kwa matusi yale yaliyoporomoshwa jana na Wafuasi wa Yanga, ningemshauri Fei ajisajili Simba ili apate nafasi ya kuwashughulikia Yanga katika mechi ya mzunguko wa pili wa ligi kati yao.
Fei keshafanya makubwa kwa Yanga na kwa muda mrefu lakini malawama na matusi aliyoyapata jana wakati yeye matatizo yake sio na club bali na uongozi juu ya maslahi inahuzunisha na ilistahili Fei apate nafasi popote awaadabishe na kuwapa uchungu hawa watu wasio na shukrani.
Nafasi hiyo ataipata akiwa Simba tuu na dirisha dogo halijafungwa.
 
Yanga ni kubwa na ilikuwepo kabla ya Fei, kuweni na adabu mnapojaribu kuijadili.
 
Kama Manara tu walikuwa wanamlipa laki 7, wataweza kweli kumlipa huyo Fei Toto mshahara anao utaka kwa mwezi, na pia kulipa hela wanazotaka Yanga?
 
Fei anabaki Yanga kilichofanyika ni wajanja wa daslm kutingisha kiberiti ili wakae mezani hayo majamaa ni kiboko ngoma zote mbovu yanazo na yanaanzisha meja ikiwa mbaya kwao wanapata sare nyepesi...hapo Faiza utaambiwa anabaki kwa mshahara mpya maana zile njia za kawaida ziligonga mwamba...
 
Back
Top Bottom