Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Maswali yalikuwa mengi sana kwanini Feisal anachezeshwa kwenye double pivot, kwanini Feisal aisipelekwe namba [emoji647]? Naamini Mwananchi ulijiuliza sana
Kwanini Feisal anachezeshwa eneo la kati au chini karibu na goli? Kwanini Kocha anamweka 'eneo sio lake' kifupi Kocha hajui kumtumia Feisal, yalikuwa maneno yenu Wananchi
Labda niwaambie kwanini Feisal alikuwa anawekwa pale, kwenye mpira kuna nafasi na Majukumu, ROLES AND POSITION, Feisal alipaswa kutafsiri majukumu kwenye eneo lake
Makocha walichotaka ni kuwa build up ya timu ianzie chini, mabeki wa kati mpira waupeleke shimoni (Eneo la kiungo) hii iwape nafasi mabeki wa pembeni kuoverlapp na kutanua uwanja (width play)
Sio kwamba Feisal alishindwa kabisa kutekeleza majukumu, aliweza kwa kiasi chake ila alihitaji mtu wa kumwonesha kwa vitendo namna gani (Regista role) inafanywa, alihitaji case study
Ghafla amekuja Carlinhos, Mchezaji anaecheza basic football tukumbuke mpira halisi ni kama Draft yani One touch, yeye amewekwa eneo kama la Feisal na majukumu kama ya Feisal
Mtazame jana alipokuwa anaombea mpira, kwenye halfspaces sehemu ambazo yupo free na mtazame wapi anaswitch mpira, kwenye eneo ambalo wachezaji wapo free
Carlinhos amefaulu kwenye passing, amefaulu kwenye kutafsiri mchezo lakini pia amefaulu kwenye coverage ya uwanja, inside passes ni brilliant kabla hajagusa mpira ameshaona watu watatu mbele
Kuna muda alikuwa chini kabisa karibu na beki za kati, kuna muda alikuwa pembeni karibu na Fullbacks na kuna muda alikuwa mbele kabisa, aliutafsiri mchezo wa jana na kuufuma mchezo mzuri wa soka
Hatuwezi mlaumu Feisal kwakuwa huyu Mreno amefundishwa, sisi wetu hapa kipaji tu kinatuongoza, wenzetu wa NURTURE na NATURE kwenye talent zao, nadhani jana Feisal kaendelea kupata somo
Naomba kuwasilisha
Kwanini Feisal anachezeshwa eneo la kati au chini karibu na goli? Kwanini Kocha anamweka 'eneo sio lake' kifupi Kocha hajui kumtumia Feisal, yalikuwa maneno yenu Wananchi
Labda niwaambie kwanini Feisal alikuwa anawekwa pale, kwenye mpira kuna nafasi na Majukumu, ROLES AND POSITION, Feisal alipaswa kutafsiri majukumu kwenye eneo lake
Makocha walichotaka ni kuwa build up ya timu ianzie chini, mabeki wa kati mpira waupeleke shimoni (Eneo la kiungo) hii iwape nafasi mabeki wa pembeni kuoverlapp na kutanua uwanja (width play)
Sio kwamba Feisal alishindwa kabisa kutekeleza majukumu, aliweza kwa kiasi chake ila alihitaji mtu wa kumwonesha kwa vitendo namna gani (Regista role) inafanywa, alihitaji case study
Ghafla amekuja Carlinhos, Mchezaji anaecheza basic football tukumbuke mpira halisi ni kama Draft yani One touch, yeye amewekwa eneo kama la Feisal na majukumu kama ya Feisal
Mtazame jana alipokuwa anaombea mpira, kwenye halfspaces sehemu ambazo yupo free na mtazame wapi anaswitch mpira, kwenye eneo ambalo wachezaji wapo free
Carlinhos amefaulu kwenye passing, amefaulu kwenye kutafsiri mchezo lakini pia amefaulu kwenye coverage ya uwanja, inside passes ni brilliant kabla hajagusa mpira ameshaona watu watatu mbele
Kuna muda alikuwa chini kabisa karibu na beki za kati, kuna muda alikuwa pembeni karibu na Fullbacks na kuna muda alikuwa mbele kabisa, aliutafsiri mchezo wa jana na kuufuma mchezo mzuri wa soka
Hatuwezi mlaumu Feisal kwakuwa huyu Mreno amefundishwa, sisi wetu hapa kipaji tu kinatuongoza, wenzetu wa NURTURE na NATURE kwenye talent zao, nadhani jana Feisal kaendelea kupata somo
Naomba kuwasilisha